Mbona Wassfi na E fm bado zinatambaBiashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.
Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.
Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?
Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)
Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.
Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.
Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Muulize mtu wa Nanyamba kama hizo redio zinapatikana.Mbona Wassfi na E fm bado zinatamba
Uchaguzi umefanyika juzi, radio imepoteza mwelekeo over 6 months (according to the thread) hapa mama anaingiaje? That's one, la pili ni hili, huko kupotea mikoani, kuna uhusiano wowote na serikali au CMC wenyewe hadi mama ahusike? Tutamsingizia na kumlaumu mama kwa mengi, sidhani kama na hili pia anahusika naloSi ndiyo qalijifanya wana kiherehere kwenda kutangaza ule uchaguzi wa upande wa pili?
Ngoja wazione rangi za mama
Wilaya ya Nachingwea Lindi Clouds saiv mwez wa 5 haisikiki.Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.
Miongoni mwa mikoa ambako Clouds imepotea ni Morogoro, Shinyanga, Kagera, Kilimanjaro nk. Zaidi ya miezi 6 redio hiyo haisikiki humo.
Kwa kuzingatia umaarufu na umahiri wa redio hiyo, watu wanajiuliza matatizo yanayoshuhudiwa sasa ni kutokana na kukosekana kwa Ruge au kwa sababu ya tamaa ya Joseph Kusaga kwenda kuanzisha Wasafi media kiasi cha kushindwa kuzihudumia zote mbili?!!!!
Wote hawa ni changamoto za afya ziliwaondoa dah inasikitisha sanaVifo vya Ruge, Ephraim Kibonde na Gardner G Habash viliniuma sana.
Panua wigo uwe mpana. Kifo Cha nani hakikukuuma.Vifo vya Ruge, Ephraim Kibonde na Gardner G Habash viliniuma sana.
Efm nayo ilishakufa Morogoro Karibu miezi 6 sasa haisikiki, pamoja na kuwachukua Zuberi George na AmbokileMbona Wassfi na E fm bado zinatamba
Uandishi wa hovyo kuliko hovyo yenyewe..!Hakuna kitu kama icho yan ww kutokusikilza redio haimansh wengne hawaskilz na ukizngatia kwa umr ulionao harakat unazofanya unakua karbu zaid na simu kulko redio lkn bado hio akup majibu kua mfumo wa redio unaenda kufa kwenye kila taasis iz za redio na Tv ua znapata sgnal za number of views na wanaoskilza ndan ya nnch na nje kwa kila sku ndio mana kuna redio unaweza ujaiskilza zaid ya miaka 5lkn ipo na inarum mfano sibuka fm je unadhan wanapata wap fund ya kurun kituo?? Mifumo ya redio na Tv haita pitwa na wakat hata ipte miaka 100 dunian izo ndio ztabak kua major sourch of infmation dunian lasvyo ungekuta bbc washafunga matangazo yao yan waajir mtu kutoka tanzania il akusomee habar tu kwa nusu saa na wamlpe ma milion ya pesa il uskilze kwa kiswahil kutoka born ujeruman..
Huu ndiyo ukweli mchungu, maana ukichek hata matangazo ambayo ndiyo chanzo kikubwa cha mapato kwenye hizo radio na TV, yanapelekwa zaidi kwa chawa sikuhizi wakina Mwijaku, Babalevo, Dotto magari na watu wengine maarufu kwenye jamii. Social media is a game changerBiashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.
Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.
Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?
Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)
Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.
Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.
Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Nitajie nchi yoyote Dunia hii ambayo hiyo biashara ya radio na television imekufa.... NCHI YOYOTE.Biashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.
Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.
Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?
Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)
Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.
Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.
Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Amini kwamba. Muda utaongeaHuko kwa walioanzisha hizo social network radio mpya zinaanzishwa karibu kila siku.
Sio rahisi kama unavyodhani.
Nitajie nchi yoyote Dunia hii ambayo hiyo biashara ya radio na television imekufa. NCHI YOYOTE.Huu ndiyo ukweli mchungu, maana ukichek hata matangazo ambayo ndiyo chanzo kikubwa cha mapato kwenye hizo radio na TV, yanapelekwa zaidi kwa chawa sikuhizi wakina Mwijaku, Babalevo, Dotto magari na watu wengine maarufu kwenye jamii. Social media is a game changer
Mambo mengine ni akili tu mzee, mfano wewe unawasha redio usikilize nini? Coz inachoofa redio na TV, social network ina ofa tena zaidi,.Nitajie nchi yoyote Dunia hii ambayo hiyo biashara ya radio na television imekufa.... NCHI YOYOTE.
Huna akili hata ya kujibu nilichokuuliza. Nakupuuza.Mambo mengine ni akili tu mzee, mfano wewe unawasha redio usikilize nini? Coz inachoofa redio na TV, social network ina ofa tena zaidi,.
Sasa utasikiliza redio ya nini zaidi ya mazoea?
Haziwezi kuondoka ila zitahamia mitandaoni tu.Biashara ya redio na TV zinaenda kufa muda si mrefu.
Ndani ya miaka 10 - 15 ijayo, sidhani kama Biashara ya redio na TV itakua biashara tena.
Yaani mtu niache kusoma habari twitter au jf nikitumia smart phone, nije kukusikiliza wewe unisimulie saa mbili usiku, how come?
Sosha network inakupa habari latest tena yenye ukweli kwa asilimia kubwa nije nisubiri taarifa ya habari tena huenda habari yenyewe imechuuujwa uongo kama wote.( haaiiiiiiiiii TV imetumika sana kushikilia/manipulate akili za watanzania, ndugu mtanzania usijione muoga linapokuja suala la kudeal na serekali yako ukadhani ulizaliwa hivyo nooo, TV na redio Station zilitumika sana kukupumbaza plus shule, ndio maana ndugu tangazaji za pale zilikua zinakula teuzi kila leo serekalini)
Nikitaka kusikiliza ngoma ya wiz khalifa sina haya ya kupiga simu redioni/tv kuomba kuchezewa ngoma hiyo, ni single click youtube naisikiliza chap, sina haja ya kumuomba dj.
Hivi hamstuki siku hizi mpaka serikali haitumii sana ma redio ni mwendo wa chawa tu.
Mwisho kabisa jiulize kwa nini TV & radio stations zoote zina akaunti sosha network and not vice versa
Mambo mengine ni akili tu mzee, mfano wewe unawasha redio usikilize nini? Coz inachoofa redio na TV, social network ina ofa tena zaidi,.
Sasa utasikiliza redio ya nini zaidi ya mazoea?
Haa Short Waves 1,2 Na Medium Waves , Low WavesSoon itakuwa RTD ya SW 1, SW 2, na MW au LW