Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

Nimekwambia mi mke wa MTU ivo ujiandae na mafuta maana kufumaniwa kupo pia.Ha haaa

Hahaha [emoji13]! Sikukuelewa jamani. Mke wa mtu sitaki mimi, wanawake walio single wapo wengi sana
 
Umeorodhesha kitambi tu, na vp kuhusu kitambi budda,, anakitambi

Kitambi budda tena Bob ? Ndio kikoje hicho ? Huyu wangu anakitambi ambacho akisimama wima vizuri huwezi kiona na hasa hasa akilala chali basi mi sionagi kitambi kabisa [emoji13]
 
Ni kweli hyo age huwa kuna utulivu kiasi kikubwa kwao pia ni waelewa sana

Kimbe nawewe unalijua hilo, safi sana Mkuu. Hawa ndio tunatakiwa kuoa. Hawa waliopo chini ya umri huo ni kupitia tu.
 
Ha ha haaa,kweli hukuelewa aisee.Nimecheka balaa

Haha ..! Hakuna kitu naogopa kama Mke wa Mtu, na pia sitaki kuwa chanzo cha maumivu kwa Mwanaume mwenzangu ambaye amemhangaika Mtu wake labsa wanamiaka mingi. Wadada walio single wapo kibao hapa Kitaa..!
 
Wa huko wana anzaga hivyo hivyo, unaweza jiona wewe malaika. Subiri siku yaja na si nyingi
 
Wa huko wana anza hivyo hivyo, unaweza jina wewe malaika. Subiri siku yaja na si nyingi

Acha kunitisha, nitabaki naye tu hata usemeje. Kwanza mambo ya ukabila na ukanda kwangu Stop. Nawapenda wasichana wakichaga kusema ukweli na nina nyota nao. Toka nianze kudate 80% ya wasichana nilio date nao ni Wachaga. Nawaelewa na ninawapenda pia [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…