Ku date na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana

Ku date na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana

Aiseeee sema una moyo tu wa uvumilivu me binafsi mtu akincheat nikajua hisia huwa zinakata so siwez kuwa na mzuka kama before kumbe kwenu wanaume huwa mzuka unazidi
Hisia sitakaa milele, hivi kuna asiecheat? wanaishi wapi hao??
 
Habarini wanajamvi.... Natumai wazima wa afya.

Nimeamua niwafikishie ujumbe kwamba kudate na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana.
Kila wakati anajishtukia tu na kukupa vizuri ujinafasi..

Atakaebisha abishé....
Tatizo ni ugwadu wa muda mrefu, ungekuwa na uwezo wa kupata chombo kipya,haya yote usinge yasema
 
Habarini wanajamvi.... Natumai wazima wa afya.

Nimeamua niwafikishie ujumbe kwamba kudate na demu aliyewahi kukucheat ni raha sana.
Kila wakati anajishtukia tu na kukupa vizuri ujinafasi..

Atakaebisha abishé....
Ila maumivu yanabaki pale pale kuwa mbususu imeliwa na nigger.
 
Back
Top Bottom