Duh hii kali ndio naisikia leo........... At least mimi nilishawahi ku..piz kwenye mtihani ....kadiri nilivyokuwa nakimbizana na muda ndivyo ngoma ilivyokuwa inapikwa ile pens down na miguu ikaloa. Serious this is a tru experience.
Hata mm iliwahi kunitokea kwenye mtihani Wa form four pepa la mathematics.
Msimamiz aliposema ten minutes to time nkachanganyikiwa na kupiga bao kabisa!! Hatari sana!