Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
This is too much huyu mama jamani kuweza kuishi nae kipaji haswaaa
Walianza na wema akamchambaa,akaja zari alikua anapigwa madongo
Leo zamu ya hamisa kaaah
Au anataka mwanawe amlale mwenyewe loohh!
Huyu mtu mzima kisheti jamani asiejijua kaaaahh
Ama kweli masikini akipataa
Muda wa ibada na toba anashindana na vitoto kaaah
Diamond muambie mama ako there is something called KARMA
Walianza na wema akamchambaa,akaja zari alikua anapigwa madongo
Leo zamu ya hamisa kaaah
Au anataka mwanawe amlale mwenyewe loohh!
Huyu mtu mzima kisheti jamani asiejijua kaaaahh
Ama kweli masikini akipataa
Muda wa ibada na toba anashindana na vitoto kaaah
Diamond muambie mama ako there is something called KARMA