Kua na mkwe kama mama Daimond ni kipaji

Kua na mkwe kama mama Daimond ni kipaji

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
This is too much huyu mama jamani kuweza kuishi nae kipaji haswaaa
Walianza na wema akamchambaa,akaja zari alikua anapigwa madongo
Leo zamu ya hamisa kaaah
Au anataka mwanawe amlale mwenyewe loohh!
Screenshot_2017-10-31-20-44-04.png
Screenshot_2017-10-31-20-44-07.png

Huyu mtu mzima kisheti jamani asiejijua kaaaahh

Ama kweli masikini akipataa

Muda wa ibada na toba anashindana na vitoto kaaah
Diamond muambie mama ako there is something called KARMA
 
Ndio lakini kipindi hiko misa si ndo alikua anajiona mkwe wa shoka.

Tukiachana bifu na mama dangote na mobeto juu ya bwana nahis kuna kitu kikubwa tununu kafanya. Familia yote imemgeuka
Daah!possible yumkini lipo alilofanya ila kaah!
Huyu mama ana shida hivi hajiskiagi vibaya hawara wa watoto zake wote anapigana nao vijembe km mtoto

Yaani huyu mama Zari awe nae makini haswaa kaahh!
 
Mi nashangaa hata watu waliomfollow huyu bibi,wa nini labda?..aendelee kueka private ivo ivo manake huwa simuelewi misimamo yake kwa kweli

[HASHTAG]#hAtEr[/HASHTAG]
 
Sioni kosa la mama dai. Tayari ishasemwa ni mswahili tena wa tandale so ni jambo la kawaida. Tununu,chuchunge alivyokichanua alidhan ataitawala madale pole yake akome kilanga komo.

Mama dai anafanya atakayo yeye. Toba afanye asifanye kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe. Maana siku hizi kifo hakichagui mzee,kijana,mtoto mchanga wote wanaenda kwa muda wao
 
Mama Mkwe kichomi
Hakuna urafiki Wala ushoga na ndugu wa mume, ndugu wa mume ni kichomi Kikubwa ni kuheshimiana nao tu ukijagombana na ndugu yao urafiki na ushosti Ndio huishia hapo. Hamisa hakuyajua haya. Hiyo Ndio asili ya ndugu wa mume.
 
Back
Top Bottom