Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
hukuona picha ? anatapikia rambo pale marie stopesmmh jamani ya kweli haya unafanya kazi pale shost,,angalia wasije wakawa wamemfananisha lol. Kama ndo hivyo basi ana kizazi kizuri
hahahahahaa sikuona hiyo aisee ubuyu ulinipita lolhukuona picha ? anatapikia rambo pale marie stopes
ahaaa ndo maana unabishahahahahahaa sikuona hiyo aisee ubuyu ulinipita lol
hahahahhah dah asante kwa ushahidi lol
haya niambie sasa ni kweli au si kweli?hahahahhah dah asante kwa ushahidi lol
aliumwa balaahahahahhah dah asante kwa ushahidi lol
hahahhaahh au ilikua malaria sugu imeingia tumbon doh... hatare sanahaya niambie sasa ni kweli au si kweli?
nampenda sana huyu mama ila siku hizi simuelewihahahhaahh au ilikua malaria sugu imeingia tumbon doh... hatare sana
Muelewe tu ndo alivyo unajua wanapenda sana wawe kwenye midomo ya watu ndo maana week hii mwanae anayazua week ijayo yeye week ingine zari week ingine Hamissa inakua kama kagame fulani hivi cha kuwaingizia hela kiki style.Mie nishawapuuza.nampenda sana huyu mama ila siku hizi simuelewi
so mange kumtukana mama mtu mzima ni sawa..huyu ni kama maake haijalishi amefanya nini!Wifi sio nduguyo wala mkwe ni wanaafiki mnoi
Ila mange kamsuuza vzr tu maana kampa dose moja matataa huko aliko anajuta mpk tumejua kua in victim kaah
huwa sielewagi mashabiki zake..kama hapo anamsema mama dai ambae kaandika mafumbo tu halafu anamshabikia mange anayetukana matusi mpaka ya nguoni. Sielewagi kabisaaaaMmh gene cant believe kumbe na wewe source yako kubwa ni mange pole sana ndo maana siku hizi una chuki kali mno kwa watu wenye hela zao. Jiangalie mkuu utaishia kuumia kwa mambo ya mitandaoni.
Mange huyo huyo alisema ray kamuua kanumba,tiffa sio wa dai,makonda hasimamishi mara makonda anatembea na wasanii wa bongo movie saiv kawadaka eti mama dai anakula dawa za ukimwi aiseee pole mkuu.
huwa sielewagi mashabiki zake..kama hapo anamsema mama dai ambae kaandika mafumbo tu halafu anamshabikia mange anayetukana matusi mpaka ya nguoni. Sielewagi kabisaaaa
so mange kumtukana mama mtu mzima ni sawa..huyu ni kama maake haijalishi amefanya nini!
Hamisa bibi we na jina lingine ChuchungeTununu ndio nani?
KweliMuelewe tu ndo alivyo unajua wanapenda sana wawe kwenye midomo ya watu ndo maana week hii mwanae anayazua week ijayo yeye week ingine zari week ingine Hamissa inakua kama kagame fulani hivi cha kuwaingizia hela kiki style.Mie nishawapuuza.
Kwa kuongezea hajui kama wewe ni mkongwe katika kiwanja hiki cha JF. anyway bi dada hujambo umepotea hadi ufahamiki.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nna chuki na wenye hela wepi?!!
Pole sana hunijui Mimi kumbe numbisaa basi [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mi mbona mange kashanitukana mpk wafuasi wake wamenitus kipindi cha blog yake [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]