Kua uyaone.

Kua uyaone.

Globu am dissapointed
kwa ulichoandika hapa labda kama unatania! Watu walishapigwa ban kwa
ajili ya huo uchafu unaoandika....mi kumcfia mwanamke ndo kisa cha ww
kuandika huu -----?am nt interestd with ths rabbish unatafta ban isio na
kichwa wala mkia!!!

Kwani cha ajabu nini mwanamke kumsifu mwanamke mwenzie? Labda kama kuna jingine.
 
my cousin charminglady hebu njoo uwasaidie hawa watu wawili Filipo na Donn sijui wana nini nami jamani sipendi uchokozi mwenzenu hamjui siku hizi nimebadilika jamani acheni kunichafua humu MMU tabia yangu haaaa njoo ndugu yangu uwaonye naona hawakupitia katika ile column niliyawapost hawa wanaume hawa haaaaa!

Filipo na Donn tafadhalini sana naomba mumuwache my cousin apumuweeeeee"!!!!!
Tena pumzi kubwa khaaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Achana nae huyo Globu ananchafua hapa kisa nimetolea nje pm zake.... charminglady na asakuta same hebu come this way muuthibitishie umma mi ni sista duu!!!

pole sana Evelyn Salt....... wana CC wote huyo Evelyn Salt ni toto la nguvu hata chaminglady anajua....huyu mtoto kwa shape ,pozi na style hayupo tofauti na huyu hapa chini ila yeye hana tatoo na kichwani nywele ni black japo style ya nywele zinafanana......
Amber Rose-20110928-11.jpg
Amber Rose-JWA-000784.jpg
Amber+Rose+Amber+Rose+American+model+famed+hcCL7s8_R5ql.jpgAmber Rose2-20110624-7.jpgAmber Rose-RSH-012845.jpg
 
Last edited by a moderator:
urrererereeeeeee Donn wao walisema wa nini wakati huo sie tulisema tutampata lini sasa tumempata tayari wameanza

umeona jombaaa... Kula maraha bana... Hii pingamizi haina uzito
 
Last edited by a moderator:
hakuna cha mchele wala mpunga hapa Filipo amezidi sana sijui kinamuwasha nini mpaka anitaje na tena anajisikia raha gani asipotaja jinala la ladyfurahia sijamuelewa ana malengo gani na mm Donn halafu na wewe Donn acha kuwafuatilia watu hapa naona nawe unanitafuta hebu kua uyaone weeeeeeeeee

duh..... Ila sababu ni ipi? Nyuma ya pazia kunani....!!!! napita tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom