Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
- Thread starter
- #181
hivi kumbe mazungumzo yote kwenye zile threads unakuwa uko serious>?? kama ni hivyo naomba unisamehe sana. Siipendi hii sifa. nilifikiri ni sehemu ya kutaniana hapa jamvini pamoja na kujifunza.
Ila kama ndo umeona hivyo, kwa kweli sijapendezwa na hiyo sifa..unisamehe sana. Samahani kwa yote!
Ngoja nipumzike maana naona JF imegeuka JeiEfu!