Kuachana na mtu na kuanza kumtakia laana huo ni ushamba wa kizamani na kujipa jeraha lisilo la lazima

Kuachana na mtu na kuanza kumtakia laana huo ni ushamba wa kizamani na kujipa jeraha lisilo la lazima

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Mahusiano ni mchezo wa kutafutana ambapo kwa washiriki wa mchezo huo wengi hawajui nani wanamtafuta ndio maana unakuta hawa leo wanapendana ila kesho wanaaachana kwa sababu kuwa hawaendani sasa swali ni je kama ulijua hamuendani kwnini ulimpa nafasi?

Majibu ni mepesi kuwa wengi tunajua kuwa tulipo sipo baada ya kuwa ndani ya mfumo wa mahusiano ndio unaona huyo sio wako kumbe bali ni wa mwingine na hapo ndipo kuna kuachana au kuvumulia huku ukilalamika ishara kuwa unavumilia tu kwa sababu huna pakwenda.

Kuna watu ambao ni wazito kukubali matokeo na hawa ni wale ambao huwa wanaamini kuwa Dunia nzima wapo wao tu hivyo mkiachana wanaanza kukutamkia laana za kila namna kama vile:

# Sidhani kama utapata tena mwanamke/mwanaume kama mimi.

# Utakuwa maskini wa kutupa na kila mwanamke/mwanaume atakukataa.

# Maisha yako yatakuwa ya hovyo sana huwezi kuniacha mimi na Mungu akupe maisha mazuri.

Hiyo ni mifano tu ila hiwa yanatamkwa mengi sana lakini kwanini yote hayo? Huu ndio mchezo wa mahusiano sio uhakika kumaliza na uliye anza naye.

Taarifa mbaya ni kuwa wengi unaowatamkia hawapati hizo laana tena huwa wanafanikiwa tu vizuri na mahusiano mapya mpaka wanasahau kuwa umewahi kuwa naye kimahusiano katika historia yake.

Ni kweli kuna usaliti mbaya huwa unatokea ila usijisumbue kutamka laana za kila namna bali acha tu uhalisia uje kuongea kama kweli atastahili kulipwa kwa mabaya yake basi atalipwa iwe umetamka ama hukumtamkia.

Mwanasayansi Saul kalivubha
Instagram @fikia ndoto zako
 
Bongo hakuna kuachana kwa wema lazima tukulaani 😹😹

Mimi ex wangu nishamlaani mpk kizazi chake cha ishirini, hawezi kuniacha kirahisi wakati ananikojoza vizuri.
Na watoto wake wa kike na wajukuu zake wote wafanywe fanywe wapewe mimba wasiolewe.

Na wajukuu zake wa kiume wote wawe mapunga, na yeye mwenyewe akifika uzeeni aolewe na kibabu chochote kile kiwe kinamkaza. 🤣🤣🤣
 
Ombea Adui yako aishi siku nyingi ili unapofanikiwa ajionee baraka

Mara nyingi ukimuombea mema kwako Baraka zinafunguka maana moyo unaachilia maana yake umeruhusu msamaha

Kinachobaki ni maamuzi ya Mungu ambariki ama amlaani
 
Bongo hakuna kuachana kwa wema lazima tukulaani [emoji81][emoji81]

Mimi ex wangu nishamlaani mpk kizazi chake cha ishirini, hawezi kuniacha kirahisi wakati ananikojoza vizuri.!!
Na watoto wake wa kike na wajukuu zake wote wafanywe fanywe wapewe mimba wasiolewe.!
Na wajukuu zake wa kiume wote wawe mapunga, na yeye mwenyewe akifika uzeeni aolewe na kibabu chochote kile kiwe kinamkaza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utakuja upende kwingine afu huione iyo ex ilikuwa takataka sasa sijui hayo maneno uliyomtamkia utayatenguaje
 
Bongo hakuna kuachana kwa wema lazima tukulaani 😹😹

Mimi ex wangu nishamlaani mpk kizazi chake cha ishirini, hawezi kuniacha kirahisi wakati ananikojoza vizuri.!!
Na watoto wake wa kike na wajukuu zake wote wafanywe fanywe wapewe mimba wasiolewe.!
Na wajukuu zake wa kiume wote wawe mapunga, na yeye mwenyewe akifika uzeeni aolewe na kibabu chochote kile kiwe kinamkaza. 🤣🤣🤣
Nunua Kaniki uanze kuwanga.
Unakwama wapi ?
 
Hila❎
Ila ✅

Huko shule mlienda kusomea ujinga!😁🤭🤭!

In ephen_ voice 😊


Wanawake tuna vinyongo vya kimataifaaaa lo vinyongo vya kwenda!

Hata kipindi kile nilikua nafurahijeeee🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🕺🤭
Furaha yako ilikua kunitakia mabaya...

Nikifa hata kabla ya kuzikwa niwe nishajiozea...
 
Bongo hakuna kuachana kwa wema lazima tukulaani [emoji81][emoji81]

Mimi ex wangu nishamlaani mpk kizazi chake cha ishirini, hawezi kuniacha kirahisi wakati ananikojoza vizuri.!!
Na watoto wake wa kike na wajukuu zake wote wafanywe fanywe wapewe mimba wasiolewe.!
Na wajukuu zake wa kiume wote wawe mapunga, na yeye mwenyewe akifika uzeeni aolewe na kibabu chochote kile kiwe kinamkaza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hasira tu hizo hakuna effect yoyote.
 
Furaha yako ilikua kunitakia mabaya...

Nikifa hata kabla ya kuzikwa niwe nishajiozea...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭!

Auweeeeeeeeeeehh Mdude huo nakubalijeeee kirahisiiiii😁😁😁!
Nilikua naomba Lolote likukute chezeiyaaa wivo weweee🤣🤭!

Mungu si Jf bana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!

Hafi mtu hapa ulipo nipo love iwe pepo iwe moto!
 
Back
Top Bottom