Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ahahahahahhahah kuna mmoja alisema "" hata jina lako sikifahamu """Ila kuna raha yake kuachana kwa timbwili......
"Nenda mbwaaa wewe wala sikukupenda nilikua nimepata tu pa kitolea upwiru"
"....nyoooo alokwambia anakupenda nani sasa, mwenyewe nlikua nataka tu hela zako hata kutmb hujui nmekaa na wewe miaka mitatu sijawahi hata kukojoa kafie mbele kule"
"na urudishe jeans zote nlizokununulia hata kile kitenge nilimnunulia mamako mwambie nakitaka" asee raha 😁 kwako Atoto unapenda kuachana kwa amani??
Nyie natafuta mpenzi 😔😔 nipo serious.
Huwa nashangaa yote hayo yanakuja wapi et mpaka kunitolea maneno ya nguoni kama hayo et....