Kuachana na mtu na kuanza kumtakia laana huo ni ushamba wa kizamani na kujipa jeraha lisilo la lazima

Kuachana na mtu na kuanza kumtakia laana huo ni ushamba wa kizamani na kujipa jeraha lisilo la lazima

Sasa km mnapendana kwanini mliachana??
Kwahiyo wewe ni “Humu tu” kweli wanaume hampendani!!
Yani unakula mke wa mwenzio? 😹
Nakula kwa sababu nayeye mzembe anaowaje mwanamke ajitambui...

Mkuu hivi mwanamke kuliwa na jamaa na yeye ameolewa ni kosa la mwanamke au kosa la yule aliye mla ...?
 
Kama yeye kaolewa kilicho mkuna kuna nini kukubali...

Alafu mkuu ni vile upo mbali ila hii mda ilibidi uwe unajibu ukiwa unalia maana unakera sana alaaah
😹😹😹 We mkurya?
Sasa nilie kwa lipi? Kwahiyo nisikuswalike?!!

Wewe na huyo ex wako wote nyie ni wazinzi. Mnawapotezea muda wenza wenu.
Km mnapendana oaneni
 
Bongo hakuna kuachana kwa wema lazima tukulaani 😹😹

Mimi ex wangu nishamlaani mpk kizazi chake cha ishirini, hawezi kuniacha kirahisi wakati ananikojoza vizuri.
Na watoto wake wa kike na wajukuu zake wote wafanywe fanywe wapewe mimba wasiolewe.

Na wajukuu zake wa kiume wote wawe mapunga, na yeye mwenyewe akifika uzeeni aolewe na kibabu chochote kile kiwe kinamkaza. 🤣🤣🤣
Aahaaa
 
😹😹😹 We mkurya?
Sasa nilie kwa lipi? Kwahiyo nisikuswalike?!!

Wewe ni huyo ex wako wote nyie ni wazinzi. Mnawapotezea muda wenza wenu.
Km mnapendana oaneni
Ahahahhaa mi mnyamwezi pure...
Ila tuu kuna mda mdada anapokuwa haelewi somo lazima nipige kwanza ...

Sasa wewe naona kabisa huelewi..
Mwanaume kaumbiwa tamaa ujue.. natural
 
Am so lovely, mpole, mtiifu, mnyenyekevu.....nabembeleza hadi utaogopa.
Hamna kitu kama hicho wewe...
Previous nishawahi kusema kwa comment zako tuu...

Inaonesha ni ubabe ubabe ...
Sasa hapo kama kuachana tuu mtu unawaza kubonda wenzako mawe imagine mtu ka hiyo..

Hata ungekuwa wewe ungeweza ahahah
 
Ahahahhaa mi mnyamwezi pure...
Ila tuu kuna mda mdada anapokuwa haelewi somo lazima nipige kwanza ...

Sasa wewe naona kabisa huelewi..
Mwanaume kaumbiwa tamaa ujue.. natural
Kumbe ndugu yangu na mimi mnyamwezi ila kwa bibi uko mbali sana.!! 😹

Hata wanawake wameumbiwa tamaa pia ndiomana unapozini unazini na mwanamke.!!
Nasemaje oa huyo ex wako kurahisisha wenzi wenu kutafuta na wao wa kuwafit
 
Kumbe ndugu yangu na mimi mnyamwezi ila kwa bibi uko mbali sana.!! 😹

Hata wanawake wameumbiwa tamaa pia ndiomana unapozini unazini na mwanamke.!!
Nasemaje oa huyo ex wako kurahisisha wenzi wenu kutafuta na wao wa kuwafit
Ahahahah alafu unakua unajibu jibu tu illegally kwa blaza wako hapa...
Ndo mana tunawabonda ooooh...

Unaijua concept ya mwanaume kuoa wanawake zaidi ya wawili wewe..?
 
Ila kuna raha yake kuachana kwa timbwili......

"Nenda mbwaaa wewe wala sikukupenda nilikua nimepata tu pa kutolea upwiru"

"....nyoooo alokwambia anakupenda nani sasa, mwenyewe nlikua nataka tu hela zako hata kutmb hujui nmekaa na wewe miaka mitatu sijawahi hata kukojoa kafie mbele kule"

"na urudishe jeans zote nlizokununulia hata kile kitenge nilimnunulia mamako mwambie nakitaka" asee raha 😁 kwako Atoto unapenda kuachana kwa amani??

Nyie natafuta mpenzi 😔😔 nipo serious.
🤣🤣🤣🤣🤣
Nchi imepoa sana angalau timbwili kidogo ili kuchangamshana.

Kuna Mpaji Mungu nae anatafuta mpenzi😊
 
Back
Top Bottom