Kuachana na mtu na kuanza kumtakia laana huo ni ushamba wa kizamani na kujipa jeraha lisilo la lazima

Mada inasemaje... Hahaha
 
Uko sahihi.
Unaachana na mtu kwa amani.
Unafuta contact zake zote.
Na unajitenga naye kabisa unless awe na tatizo la msiba na umeliconfirm .
 
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜†
 
Ombea Adui yako aishi siku nyingi ili unapofanikiwa ajionee baraka

Mara nyingi ukimuombea mema kwako Baraka zinafunguka maana moyo unaachilia maana yake umeruhusu msamaha

Kinachobaki ni maamuzi ya Mungu ambariki ama amlaani
Kabisa
 
Mimi mpaka alimwambiaga rafiki yangu "shemu utaona kama ninachosema ni uongo" sasa wakati naanza nae alikua na mtoto wa mwaka mmoja, wa kike, umeishi kwa vitimbwi ngendembwe za kutosha mara kaenda kwa ex wake mara kaanzisha mpya yaani tafrani, ila mimi nikawa karibu sana na watoto bila kubagua yule niliyemkuta, na nimekuwa nikmisihi sana yule mtoto baada ya kuwa sasa ni mkubwa azingatie elimu, kuna kipindi nilipitia nyakati nguvu kama miezi minne hivi, yule mwanamke akasema yeye anaondoka nikasema beba kila kitu niache kama nilivyo tu na nguo zangu tu, wakati huo bint huyu amefika kidato cha pili, hatukukaa kitambo naambiwa yule binti amekuwa huru mno kapigwa mimba, mamake akanipigia simu nikamwambia "Hongereni" sasa nifanyeje nikamwambia anatakiwa aende shule, akamchomoa mimba akaendelea na school, nikamwambia ameiga tabia zako na sasa umemfundisha kutoa mimba endelea kusubiri matokeo, nikamsaidia tu kumhamisha shule, juzi kanipigia tena amejifungua katoto miezi saba kameishi siku moja kamekufa! Na yuko kidato cha nne anafanya mtihani mwaka huu, Nilimuonea huruma binti, lakini nikasema moyoni haya ndo majibu ya yale matamshi magumu kwangu mbele ya rafiki yangu.
Kuwa mtulivu nyakati ziseme tu.
 
laana hisiyo na sababu haiwezi mpata mtu pia mshahara wa dhambi ni mauti huwezi kuwa unazini ovyo then useme unamlaani mtu hiyo ni dhambi pia Mwenyezi Mungu hapendi uzinzi ni dhambi
 
laana hisiyo na sababu haiwezi mpata mtu pia mshahara wa dhambi ni mauti huwezi kuwa unazini ovyo then useme unamlaani mtu hiyo ni dhambi pia Mwenyezi Mungu hapendi uzinzi ni dhambi
Wewe ni nyau bikra?
 
Alafu wengi wenye mambo ya kuaacha laana wanakuwaga ni underground kwenye mapenzi yaani ni washamba

Uwezi kuta mtu mzoefu alafu anakuambia maneno ""utopata mwingine kama mimi"" na maneno mengi ujue kweli huyo alipenda.

Sasa hao mi ndo nawapendaga maana mtu anayekutamkia hvo kama ni wa kike hao wanakuwaga ma ex wa faida maana unaweza kujilia tena na tena ukija na kauli za kujifanya kweli ujapata kama yeye..

Atakua anahisi ufahali kumbe hamna kitu kuddake ni kula tuu
 
Au sio? Humu tu 😹
 
Kweli kabisa
 
Ni ujinga akikua ataacha msamehe, muache aende ampate mume atakayemfaa.

Na wewe mkeo ataliwa na maex zake, dunia inazunguka ujue.
Sioi mimi....
Alafu kingine mkuu huwa nimeapa kuwa takuja miliki pipe hivo hao wa kula wake za watu aiseee ...

Siongei sana piga pipe ya matrakoooo
 
Ila kuna raha yake kuachana kwa timbwili......

"Nenda mbwaaa wewe wala sikukupenda nilikua nimepata tu pa kutolea upwiru"

"....nyoooo alokwambia anakupenda nani sasa, mwenyewe nlikua nataka tu hela zako hata kutmb hujui nmekaa na wewe miaka mitatu sijawahi hata kukojoa kafie mbele kule"

"na urudishe jeans zote nlizokununulia hata kile kitenge nilimnunulia mamako mwambie nakitaka" asee raha 😁 kwako Atoto unapenda kuachana kwa amani??

Nyie natafuta mpenzi πŸ˜”πŸ˜” nipo serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…