britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nimesoma vitabu 17 Mwaka 2019 nimepata maarifa kadhaa tutagawana hapa na kuelekezana kistaarabu
1.The Black mass-John le Carré: huyu mwandishi anaelezea kwamba kabla ya uvamizi Wa Iraq America walijua fika kwamba hakukuwa na Silaha za Nyukilia ndani ya Iraq ilikuwa ni mbinu ya america kuiangamiza Iraq na utawala wa kiislamu
2.Travel Into Bhokara - Alexander Bune,
Mwandishi anaeleza (Alexander Bune Mwingeleza) alivyosafiri karne ya 19 kupeleleza maeneo ya Bhokara Asia, mpelelezi huyu alizijua lugha sana, siyo kama mpelelezi wa awali Lawrence huko Uarabuni, ambaye hakuwa mzuri kwenye Lugha, Kitabu kinaelezea uingiaji Afghanistan, na maeneo ya Pakistan.upelelezi ndani ya Peshawar mpaka bhakara, ni kazi kubwa ya kiutafit na intelijensia ilofanyika.kitabu kinaeleza maajabu Aliyoyaona kupitia upelelezi wake.
3.The Insurrection in Mesopotamia
by Aylmer Haldane
Kitabu kinaeleza kuwa matatizo tunayoyaona sasa hivi ndani ya Mashariki ya kati hasa irak hayana tofauti na yalivyoibuka mwanzo (Shia uprising)
Hivyo waingereza na Wamarekani ndo awakuwa wabunifu na wajuzi kuwa hakuna kilichobadilika, ila ni Nyakati tu
4.The Tartar Steppe
by Dinno Buzzati
Mwandishi anaeleza jinsi waitaliano walivyoji mwambafy kuwa wao wanaweza kila kitu kwenye ujasusi lakin walikuja kugundua sivyo, anaeleza chamgamoto wanazopata maspy
5.The Future Energy-Scientific America, Earth wind and Fire
6.The Christian Science monitor
7.Deep Space mysteries -Astronomy
8.the Fantasy and Science Fiction
9.Luxembourg Innovation is out of this world
10.horisont 1987 Estonia based Scientific America
11.Physics Today , The search for magnetic monopoles
12. Self Tough Robots-Scientific America,
13. Are you a Hologram? - Scientific America,
14. Whose water is It, Anyway, Taking water into public hand
15. click here to Kill -Harper's
16.Rough Magic: Riding the World's Loneliest Horse Race
17.I miss you when i Blink
Britanicca
1.The Black mass-John le Carré: huyu mwandishi anaelezea kwamba kabla ya uvamizi Wa Iraq America walijua fika kwamba hakukuwa na Silaha za Nyukilia ndani ya Iraq ilikuwa ni mbinu ya america kuiangamiza Iraq na utawala wa kiislamu
2.Travel Into Bhokara - Alexander Bune,
Mwandishi anaeleza (Alexander Bune Mwingeleza) alivyosafiri karne ya 19 kupeleleza maeneo ya Bhokara Asia, mpelelezi huyu alizijua lugha sana, siyo kama mpelelezi wa awali Lawrence huko Uarabuni, ambaye hakuwa mzuri kwenye Lugha, Kitabu kinaelezea uingiaji Afghanistan, na maeneo ya Pakistan.upelelezi ndani ya Peshawar mpaka bhakara, ni kazi kubwa ya kiutafit na intelijensia ilofanyika.kitabu kinaeleza maajabu Aliyoyaona kupitia upelelezi wake.
3.The Insurrection in Mesopotamia
by Aylmer Haldane
Kitabu kinaeleza kuwa matatizo tunayoyaona sasa hivi ndani ya Mashariki ya kati hasa irak hayana tofauti na yalivyoibuka mwanzo (Shia uprising)
Hivyo waingereza na Wamarekani ndo awakuwa wabunifu na wajuzi kuwa hakuna kilichobadilika, ila ni Nyakati tu
4.The Tartar Steppe
by Dinno Buzzati
Mwandishi anaeleza jinsi waitaliano walivyoji mwambafy kuwa wao wanaweza kila kitu kwenye ujasusi lakin walikuja kugundua sivyo, anaeleza chamgamoto wanazopata maspy
5.The Future Energy-Scientific America, Earth wind and Fire
6.The Christian Science monitor
7.Deep Space mysteries -Astronomy
8.the Fantasy and Science Fiction
9.Luxembourg Innovation is out of this world
10.horisont 1987 Estonia based Scientific America
11.Physics Today , The search for magnetic monopoles
12. Self Tough Robots-Scientific America,
13. Are you a Hologram? - Scientific America,
14. Whose water is It, Anyway, Taking water into public hand
15. click here to Kill -Harper's
16.Rough Magic: Riding the World's Loneliest Horse Race
17.I miss you when i Blink
Britanicca