Kuachana na Siasa nakuja kivingine kupitia Vitabu nilivyosoma 2019: ntawalisha maarifa

Kuachana na Siasa nakuja kivingine kupitia Vitabu nilivyosoma 2019: ntawalisha maarifa

Basi mkuu kama unafatilia hizi topics nadhani gaia.com inakufaa sana. Try to check it out. Ni kama netflix lkn ina real life seasons zinazochambua mambo mengi yalioandikwa tangu ancient times na wanadisclose vitu vingi sana. Just take a trial plan ucheki
 
Kumbe Pascal Mayalla ni msomaji mzuri wa vitabu
Sio tuu ni msomaji mzuri, pia ni story teller, nataka nianzishe ma story ya politiki kama
Mastori ya Enzi za Nyerere
Mastori ya Enzi za Mwinyi
Mastori ya Enzi za Mkapa
Mastori ya Enzi za JK Kikwete
Mastori ya Enzi za Magufuli yatakuja baada ya 2025 by then nitakuwa babu sana over 60!.
P
 
Sio tuu ni msomaji mzuri, pia ni story teller, nataka nianzishe ma story ya politiki kama
Mastori ya Enzi za Nyerere
Mastori ya Enzi za Mwinyi
Mastori ya Enzi za Mkapa
Mastori ya Enzi za JK Kikwete
Mastori ya Enzi za Magufuli yatakuja baada ya 2025 by then nitakuwa babu sana over 60!.
P
Kabisa Kwanza Shikamoo tupe Ma story kaka Mkubwa
 
Itakuwa vizuri sana mkuu paskali
Sio tuu ni msomaji mzuri, pia ni story teller, nataka nianzishe ma story ya politiki kama
Mastori ya Enzi za Nyerere
Mastori ya Enzi za Mwinyi
Mastori ya Enzi za Mkapa
Mastori ya Enzi za JK Kikwete
Mastori ya Enzi za Magufuli yatakuja baada ya 2025 by then nitakuwa babu sana over 60!.
P

Sent using my 6x6 bed.
 
Pascal Mayalla Ntapenda kujua yafuatayo
1.Kisiwa cha siri ndani uongozi wa mwalimu
2.Mamaria Nyerere Kumsaliti Nyerere mpaka kupelekea kukimbilia Dodoma miaka 2 akimwacha Nyerere akibembeleza kwa kipindi kile
3.Mrema kumzuia Siti Mwinyi airport
4.Mkapa kupigwa Mguu na stuli na Anna mkapa
5.Kikwete kuenda China Kumuokoa Ridhiwani asinyongwe kisa Madawa ya Kulevya
6.Magufuli kutegeshewa Dawa Morogoro afe
 
Pascal Mayalla Ntapenda kujua yafuatayo
1.Kisiwa cha siri ndani uongozi wa mwalimu
2.Mamaria Nyerere Kumsaliti Nyerere mpaka kupelekea kukimbilia Dodoma miaka 2 akimwacha Nyerere akibembeleza kwa kipindi kile
3.Mrema kumzuia Siti Mwinyi airport
4.Mkapa kupigwa Mguu na stuli na Anna mkapa
5.Kikwete kuenda China Kumuokoa Ridhiwani asinyongwe kisa Madawa ya Kulevya
6.Magufuli kutegeshewa Dawa Morogoro afe
Utamfanya jamaa atoe siri za kambi bure af zile noah/harrier nyeusi zifanye kazi tena.

Mkuu Pascal Mayalla huko usiguse aisee
 
Pascal Mayalla Ntapenda kujua yafuatayo
1.Kisiwa cha siri ndani uongozi wa mwalimu
2.Mamaria Nyerere Kumsaliti Nyerere mpaka kupelekea kukimbilia Dodoma miaka 2 akimwacha Nyerere akibembeleza kwa kipindi kile
3.Mrema kumzuia Siti Mwinyi airport
4.Mkapa kupigwa Mguu na stuli na Anna mkapa
5.Kikwete kuenda China Kumuokoa Ridhiwani asinyongwe kisa Madawa ya Kulevya
6.Magufuli kutegeshewa Dawa Morogoro afe
Pascal Mayalla sidhani kama yupo njema eneo hilo labda Kiranga aje
 
Back
Top Bottom