Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi,
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...
Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?
EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...
Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?
EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA