Uchaguzi 2020 Kuachia nchi au kuikabidhi nchi sio jambo rahisi kama tunavyofikiria

Uchaguzi 2020 Kuachia nchi au kuikabidhi nchi sio jambo rahisi kama tunavyofikiria

Ndugu;

Sekeseke na ukaidi kidogo na pengine hata kujaribu kugoma kukabidhi nchi kwa mshindi, hilo linatarajiwa bila shaka

Lakini jambo moja la uhakika ni hili; NI LAZIMA ALIYESHINDWA AKABIDHI UONGOZI WA NCHI KWA MSHINDI!

Haijalishi ni njia gani zitatumika lakini, lazima CCM na JIWE wakabidhi nchi kwa mshindi kwa sababu mpaka sasa iko wazi sana, kabisa kuwa CCM na Magufuli a.k.a JIWE hawatashinda kwa mbinu za wizi wao

Hofu ya kushughulikiwa?

Yes, sharti na lazima wawe na hofu. Na kwa upande mwingine sheria ni lazima ichukue mkondo wake

Kwa hili hakuna cha kuoneana haya hata kidogo maana Mungu si binadamu hata aseme uongo ama awe kigeugeu. Alilosema atalitenda, basi atalitenda kweli kweli

Mfano, imeandikwa mahali fulani kwenye biblia takatifu kuwa;

"......KILA ATENDAYE DHAMBI AMEKWISHA KUHUKUMIWA....."

Hii maana yake ni kuwa, kama kuna yeyote aliyetenda dhambi kwa kutumia vibaya madaraka yake, huyo AMEKWISHA KUHUKUMIWA TAYARI na Mungu

Tundu Lissu au CHADEMA hawana hatia yoyote dhidi ya mtu huyu maana matendo yake maovu ndiyo yanayomshuhudia na kumhukumu!!

Hii ni natural principle

Na kamwe hapa hakuna kisasi chochote. Alipaye kisasi ni Mungu mwenyewe. Matendo yao yatafuatana nayo. Salama yao, ni kupatana na matendo yao sasa kabla ya kiama kuwafika!!
Acha kuwatisha bhana. Hatutaki visasi. Tutakuwa na kazi kubwa ya kukwamua nchi iliyodumazwa na ccm kwa zaidi ya nusu karne!
 
Uongozi ni dhamana ya muda sio ya kudumu
 
Atake asitake atakabidhi nchi , sio Mali yake Wala ya chama chake , internal and external factors will be considered .
 
1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi,
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...

Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?

EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA
Ungeyajua haya ungetakiwa kuishi kwa nidhamu VINGINEVYO ulikuwa unabeti maisha.
 
Back
Top Bottom