Uchaguzi 2020 Kuachia nchi au kuikabidhi nchi sio jambo rahisi kama tunavyofikiria

Uchaguzi 2020 Kuachia nchi au kuikabidhi nchi sio jambo rahisi kama tunavyofikiria

Ni takwa la kikatiba, siyo takwa la mtu.

Uchaguzi ukifanyika umeshindwa utakabidhi tu.
Kwa Tanzania kuna shida kidogo. Hata NEC wakiamua kukosea kwa makusudi na kumtangaza M kama mshindi wa urais badala ya L, mchezo umeishia hapo. Kauli ya NEC ni final.

Angalau Kenya wametuzidi kwenye hilo.
 
Tungekuwa na watu wenye uwezo wa kufikiria haya kwenye utawala wa nchi yetu tusingekuwa na katiba aliyonayo sasa, katiba inayorundika kila kitu kwa mtu mmoja. Badala yake tungekuwa na katiba inayotoa haki sawa kwa kila mtanzania kuchagua na kuchaguliwa kuwa kiongozi katika nafasi yeyote ile from urais hadi ujumbe wa nyumba kumi, tungekuwa na katiba ambayo hatoi nafasi kwa mtu mmoja kuteua watu kibao kwa sifa anazojua mteuaji, tusingekuwa na katiba watu kutegemea fadhira ili wateuliwe katika nafasi mbalimbali badala ya uwezo. I don't think kama kuna mwanaccm anaweza haya. CCM is a group of short sighted and foolish individuals
CCM is a group of short sighted and foolish individuals
 
1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi,
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...

Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?

EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA
Ni rahisi Sana labda Kama una shida ya kufanya Mambo rahisi yawe magumu. ( Making simple things hard syndrome)
 
Kwa Tanzania kuna shida kidogo. Hata NEC wakiamua kukosea kwa makusudi na kumtangaza M kama mshindi wa urais badala ya L, mchezo umeishia hapo. Kauli ya NEC ni final.

Angalau Kenya wametuzidi kwenye hilo.
Kweli. NEC haigusiki wala haipelekwi mahakama za Tanzania, lkn ICC itapelekwa.
 
Ni takwa la kikatiba, siyo takwa la mtu.

Uchaguzi ukifanyika umeshindwa utakabidhi tu.

Kuna weza kukawa na tafsiri zaidi ya moja kwenye katiba.

Ni kama kifungu cha haki ya kuchagua na kuchaguliwa " kulikuwa hakuna haja ya kuweka ukomo wa Urais sababu kwa kufanya hivyo unaondoa haki ya kuchagua na kuchaguliwa"
 
Yote hayo ni kwa sababu tunatumia ofisi za umma kufanya ufisadi na ufedhuri dhidi ya wananchi.
 
Hizi ni akili za uoga na mashaka.

Wao ni nani mpaka wasikabidhi.

Wapende wasipende watakabidhi, wajiandae wasijiandae watakabidhi.
 
Kweli. NEC haigusiki wala haipelekwi mahakama za Tanzania, lkn ICC itapelekwa.
Hakuna kitu kama hiki. Mfano rahisi tu ni Seif Shariff mwaka 2015. What happened?

Kwanza ICC inadeal na vitu hivi tu: genocide, crimes against humanity, war crimes na crime of aggression.

Uwezekano pekee wa kuwatoa CCM ni kupiga kura kwa wingi sana ila bahati mbaya wengi humu hawatopiga kura kwa sababu mbalimbali
 
Kama hawajajiandaa kukabidhi, tutawapa siku 7 wafanye majumuisho yooote. Tutamrudisha Prof. Assad atusaidie kufanyia uhakiki hayo mahesabu.
Upuuzi mtupu, nchi uwape hawa vibaraka?. Ni Sawa na fisi kuwapa bucha, hata mifupa itasagwasagwa.
 
Hakuna kitu kama hiki. Mfano rahisi tu ni Seif Shariff mwaka 2015. What happened?

Kwanza ICC inadeal na vitu hivi tu: genocide, crimes against humanity, war crimes na crime of aggression.

Uwezekano pekee wa kuwatoa CCM ni kupiga kura kwa wingi sana ila bahati mbaya wengi humu hawatopiga kura kwa sababu mbalimbali
Umenena sahihi kabisa.
 
1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi,
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...

Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?

EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA
Huyo anaondoka tu... usitishe wananchi.
CCM walileta mtu hafai na hii inakwenda kuwa adhabu kwao.
 
Hakuna kitu kama hicho na haiwezi tokea
Yaani wakuachie kirahisi rahisi no way.

Ova
Dunia imesha badilika ukiwazingua wananchi kuna wakubwa wanakumulika nao wanakuzingua ile mbaya. Ya Ivory Coast tunayakumbuka. Kenyatta na Rutto waliponea kwa bahati. Hakuna aliye salama hasa kama wananchi watakinukisha. Tusiombe tufike huko.
 
Hakuna kitu kama hiki. Mfano rahisi tu ni Seif Shariff mwaka 2015. What happened?

Kwanza ICC inadeal na vitu hivi tu: genocide, crimes against humanity, war crimes na crime of aggression.

Uwezekano pekee wa kuwatoa CCM ni kupiga kura kwa wingi sana ila bahati mbaya wengi humu hawatopiga kura kwa sababu mbalimbali
Umenena sahihi kabisa.
Wajaribu wakione. Hakuna aliye salama. Ushenzi utajibiwa na askari wa dunia pamoja na nguvu ya umma.
 
1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi,
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...

Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?

EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA
Wacha uoga.. hakuna visasi
 
1. Kuna watu kujiandaa kukabidhi,
2. Kuna watu au viongozi kuhakikisha mahesabu na record zingine zimekaa sawa,
3. Kuna kuhakikisha atakaye kabidhiwa hata lipiza kisasi,
4. Kuna kuhakikisha familia zao na vizazi vyao viko salama au mahali salama kabla ya kukabidhi,
5. Kuna kujihakikishia future yao, watoto wao, ndugu na wanachama ambao walio kipigania chama...

Sasa unafikiri yote haya hayataangaliwa?

EH MUNGU TUOKOE NA UIBARIKI TANZANIA
Simba mwenda pole ndo mla nyama.. ccm kwisha habari yao
 
Huyo anaondoka tu... usitishe wananchi.
CCM walileta mtu hafai na hii inakwenda kuwa adhabu kwao.
Kwa kiwango chetu cha maendeleo, na uhitaji wa kiuchumi wa leo Magufuli is the best President, na bila kumung'unya maneno na hata kwa uhitaji wetu kiuchumi angetawala kwa miaka mingine 10.
Baada ya hapo tusinge muhitaji tena.

Walio pata Dollar zaidi ya Million moja mpaka sasa ni zaidi ya 5260 na wakifika 20000 tutakuwa tunazalisha Millionaires 5000 kila mwaka.
Tukifika hapo uchumi wetu utakuwa unahimili kila kishindo labda magharika pekee.
 
Back
Top Bottom