Kuachiwa huru kwa Freeman Mbowe na wenzake hakuna sababu nyingine isipokuwa ushahidi wa Jamhuri kutothibitisha mashitaka

Kuachiwa huru kwa Freeman Mbowe na wenzake hakuna sababu nyingine isipokuwa ushahidi wa Jamhuri kutothibitisha mashitaka

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
ASIKUDANGANYE MTU, kwa propaganda yoyote kuwa DPP kutangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na mashitaka ya tuhuma za ugaidi na uhujumu uchumi dhidi ya M/Kiti wa CHADEMA - Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake eti ni kwa sababu zingine zozote zile bali ilikuwa ni suala la muda tu siku hii ifike.

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa ule ugeni wa wanaoitwa "viongozi wa dini" ikulu na kauli ya Zito Kabwe siku chache zilizopita kule Dodoma wakati wa kilichoitwa "mkutano wa Mutungi - Msajili wa vyama vya siasa kwa mwavuli wa TCD" iliyozua tafrani ya kumwombea msamaha zina influence yoyote kwa maamuzi ya DPP leo kuiondoa kesi hii mahakamani.

Yote na kote huko ilikuwa ni harakati za serikali kutafuta mlango wa kutokea tu ili kuliondoa jambo hilo mahakamani kwa sababu kila mtu aliona kwa macho na kusikia kwa masikio yake kutoka day one kuwa hakukuwa na ushahidi wa kuthibitisha mashitaka hayo.

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kesi hii ilikuwa ni jinai kweli kwa maana ya jinai. Huu ulikuwa mchezo na mkakati wa kisiasa wa CCM kwa mgongo wa SERIKALI dhidi CHADEMA chama kinachotishia uhai na uwepo wa CCM madarakani.

Kilichofanyika ni CHADEMA kukutwa wamejiandaa vyema kukabiliana na mkakati huu mwovu wa CCM na serikali yao.

ASIKUDANGANYE MTU bwana, kwa mchezo huu ambao waasisi ni CCM mwenyewe, CHADEMA ni washindi na wamewachapa goli za kutosha CCM na kwa aibu wakawa wametafuta mbinu ya kuumaliza mchezo apema kuepuka kushindiliwa magoli zaidi.

NARUDIA TENA, ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kule kuwaona kina Zitto Kabwe na hawa wanaoitwa "viongozi wa dini" wakiokotezwa na kisha wakatengenezewa mazingira na kukaribishw Ikulu ili wajifanye kumsihi Rais kumsamehe Freeman Mbowe ili hili lililofanyika leo ionekana ni kwa sababu "Rais Samia kawasikia viongozi hao".

USIDANGANYIKE na hayo maigizo. Ni uongo mtupu wa kufuta aibu ya malkia na serikali yake.

ASIKUDANGANYE MTU, wote tunaelewa serikali yoyote ikiwemo hii yetu ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu [CCM] huwa madarakani kwa mlango wa siasa na hu - mantain uwepo wake madarakani kwa mbinu za kisiasa zozote zile iwe halali ama haramu.

Katika hili la kesi ya Freeman A. Mbowe ilikuwa mbinu haramu na pengine ya kijinga na kipumbavu sana ya serikali hii chini ya CCM kujaribu kuji - maintain lakini bahati wameshindwa spectacularly.

Kwa kuwa ilikuwa mbinu haramu matokeo yake hata mikakati [strategies] zao zikawa za kijinga na kipumbavu kabisa.

Mathalani, kitendo cha Rais Samia kwenda kufyatuka uongo wa mchana kweupe akihojiwa na kituo cha TV cha BBC Swahili kuwa baadhi ya wahalifu wenzake na Freeman Mbowe walishahukumiwa na kufungwa gerezani ilikuwa uthibitisho wa kwanza wa wanamikakati (strategists) wa CCM kushindwa kabla ya mkakati kufikia hata robo tu.

CHADEMA hongereni. You are the winners. I see the light at the end of the tunnel. Keep on going. Harakati za kudai katiba bora na mpya, demokrasia na haki ziendelee.
 
ASIKUDANYE MTU. Hii ni Kama Kuruka Mkojo halafu Kukanyaga 'Mavi'...ashakum.
Zito Alimuomba Mama Amsamehe Mbowe.

Watu Tukaja juu huku tukimlaumu Zito kwanini Kamuombea Msamaha Mbowe. Ajabu Sasa Ombi Lile lile limetolewa Na Viongozi Wa Dini.

Sasa 'Eti' tunashangilia Kabisa huko 'Haya au Soni' Usoni Zimetutoka. Very Funny!
 
ASIKUDANYE MTU....Hii ni Kama Kuruka Mkojo halafu Kukanyaga 'Mavi'...ashakum.
Zito Alimuomba Mama Amsamehe Mbowe..Watu Tukaja juu huku tukimlaumu Zito kwanini Kamuombea Msamaha Mbowe...! Ajabu Sasa Ombi Lile lile limetolewa Na Viongozi Wa Dini..Sasa 'Eti' tunashangilia Kabisa huko 'Haya au Soni' Usoni Zimetutoka..! Very Funny!

Zitto alitaka Mbowe amuombe Mama msamaha.

Badala yake Mama ndio amemuomba msamaha Mbowe kwa kumuita Ikulu.
 
Mimi kinachonishangaza ni kwa nini jaji asingemaliza mchezo kwa kusema hawana kesi ya kujibu na mchezo ukaishia pale??
Asingeweza kuimaliza kama syndicate yoteiliyotengeneza kesi hii haijakubaliana kuwa waimalizeje...

Jaji alikuwa sehemu ya evil syndicate hiyo...

Mama Samia obviousily hakuwa anajua hili from the beginning. Ametambua kuwa kaingizwa chaka ikiwa too late....
 
..Zitto alitaka Mbowe amuombe Mama msamaha.

..badala yake Mama ndio amemuomba msamaha Mbowe kwa kumuita Ikulu.
Absolutely...

Ndicho kilichofanyika Ikulu mapema leo....
 
ASIKUDANYE MTU....Hii ni Kama Kuruka Mkojo halafu Kukanyaga 'Mavi'...ashakum.
Zito Alimuomba Mama Amsamehe Mbowe..Watu Tukaja juu huku tukimlaumu Zito kwanini Kamuombea Msamaha Mbowe...! Ajabu Sasa Ombi Lile lile limetolewa Na Viongozi Wa Dini..Sasa 'Eti' tunashangilia Kabisa huko 'Haya au Soni' Usoni Zimetutoka..! Very Funny!
Mbona kama hujafuatilia kujua Mbowe ametoka gerezani kwa utaratibu upi wa kisheria....?

Mbowe ameachiliwa na mahakama baada ya waliokuwa wanamshitaki kusema hawana sababu ya kuendelea na kesi hiyo. Sababu ya kutoendelea na mashitaka zaweza kuwa kati ya;

Aidha;
1. Kesi haina maslahi ya umma

##Possibly hii ni sababu + hii hapa chini
Au

2. Hakuna uwezekano wa mshitakiwa kutiwa hatiani kwa sbb ya ushahidi kutojitosheleza na hivyo kuendelea nayo ni kupoteza muda na rasrimali tu;

##Possibly hii ndiyo sababu kwa 100% iliyofuta kesi hii + hiyo hapo juu namba 1
Au

3. Mshitakiwa na mshitaki kupatana na kukubaliana nje ya utaratibu wa kimahakama na kuiondoa kesi mahakamani...

###Sababu hii wote tunajua, Mbowe na CHADEMA walikataa kulimaliza hii kwa utaratibu huu. Kwa haiwezi kuwa kwa 100%...

On the other hand, ni hakika kuwa hakutoka kwa msamaha wa Rais kwa sababu kisheria Rais husamehe wafungwa waliokwisha kuhukumiwa. Mbowe alikuwa hajathibitika kuwa na hatia na kuhukumiwa...!
 
ASIKUDANGANYE MTU, kwa propaganda yoyote kuwa DPP kutangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na mashitaka ya tuhuma za ugaidi na uhujumu uchumi dhidi ya M/Kiti wa CHADEMA - Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake eti ni kwa sababu zingine zozote zile bali ilikuwa ni suala la muda tu siku hii ifike...

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa ule ugeni wa wanaoitwa "viongozi wa dini" ikulu na kauli ya Zito Kabwe siku chache zilizopita kule Dodoma wakati wa kilichoitwa "mkutano wa Mutungi - Msajili wa vyama vya siasa kwa mwavuli wa TCD" iliyozua tafrani ya kumwombea msamaha zina influence yoyote kwa maamuzi ya DPP leo kuiondoa kesi hii mahakamani....!

Yote na kote huko ilikuwa ni harakati za serikali kutafuta mlango wa kutokea tu ili kuliondoa jambo hilo mahakamani kwa sababu kila mtu aliona kwa macho na kusikia kwa masikio yake kutoka day one kuwa hakukuwa na ushahidi wa kuthibitisha mashitaka hayo...!

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kesi hii ilikuwa ni jinai kweli kwa maana ya jinai. Huu ulikuwa mchezo na mkakati wa kisiasa wa CCM kwa mgongo wa SERIKALI dhidi CHADEMA chama kinachotishia uhai na uwepo wa CCM madarakani...!

Kilichofanyika ni CHADEMA kukutwa wamejiandaa vyema kukabiliana na mkakati huu mwovu wa CCM na serikali yao....

ASIKUDANGANYE MTU bwana, kwa mchezo huu ambao waasisi ni CCM mwenyewe, CHADEMA ni washindi na wamewachapa goli za kutosha CCM na kwa aibu wakawa wametafuta mbinu ya kuumaliza mchezo apema kuepuka kushindiliwa magoli zaidi....!

NARUDIA TENA, ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kule kuwaona kina Zitto Kabwe na hawa wanaoitwa "viongozi wa dini" wakiokotezwa na kisha wakatengenezewa mazingira na kukaribishw Ikulu ili wajifanye kumsihi Rais kumsamehe Freeman Mbowe ili hili lililofanyika leo ionekana ni kwa sababu "Rais Samia kawasikia viongozi hao".

USIDANGANYIKE na hayo maigizo. Ni uongo mtupu wa kufuta aibu ya malkia na serikali yake.....!

ASIKUDANGANYE MTU, wote tunaelewa serikali yoyote ikiwemo hii yetu ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu [CCM] huwa madarakani kwa mlango wa siasa na hu - mantain uwepo wake madarakani kwa mbinu za kisiasa zozote zile iwe halali ama haramu....

Katika hili la kesi ya Freeman A. Mbowe ilikuwa mbinu haramu na pengine ya kijinga na kipumbavu sana ya serikali hii chini ya CCM kujaribu kuji - maintain lakini bahati wameshindwa spectacularly...!

Kwa kuwa ilikuwa mbinu haramu matokeo yake hata mikakati [strategies] zao zikawa za kijinga na kipumbavu kabisa....

Mathalani, kitendo cha Rais Samia kwenda kufyatuka uongo wa mchana kweupe akihojiwa na kituo cha TV cha BBC Swahili kuwa baadhi ya wahalifu wenzake na Freeman Mbowe walishahukumiwa na kufungwa gerezani ilikuwa uthibitisho wa kwanza wa wanamikakati (strategists) wa CCM kushindwa kabla ya mkakati kufikia hata robo tu....

CHADEMA hongereni. You are the winners. I see the light at the end of the tunnel. Keep on going. Harakati za kudai katiba bora na mpya, demokrasia na haki ziendelee...
Chadema always winners.

Hatujawahi kuanguka linapofika swala la kudai haki.
 
ASIKUDANGANYE MTU, kwa propaganda yoyote kuwa DPP kutangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na mashitaka ya tuhuma za ugaidi na uhujumu uchumi dhidi ya M/Kiti wa CHADEMA - Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake eti ni kwa sababu zingine zozote zile bali ilikuwa ni suala la muda tu siku hii ifike...

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa ule ugeni wa wanaoitwa "viongozi wa dini" ikulu na kauli ya Zito Kabwe siku chache zilizopita kule Dodoma wakati wa kilichoitwa "mkutano wa Mutungi - Msajili wa vyama vya siasa kwa mwavuli wa TCD" iliyozua tafrani ya kumwombea msamaha zina influence yoyote kwa maamuzi ya DPP leo kuiondoa kesi hii mahakamani....!

Yote na kote huko ilikuwa ni harakati za serikali kutafuta mlango wa kutokea tu ili kuliondoa jambo hilo mahakamani kwa sababu kila mtu aliona kwa macho na kusikia kwa masikio yake kutoka day one kuwa hakukuwa na ushahidi wa kuthibitisha mashitaka hayo...!

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kesi hii ilikuwa ni jinai kweli kwa maana ya jinai. Huu ulikuwa mchezo na mkakati wa kisiasa wa CCM kwa mgongo wa SERIKALI dhidi CHADEMA chama kinachotishia uhai na uwepo wa CCM madarakani...!

Kilichofanyika ni CHADEMA kukutwa wamejiandaa vyema kukabiliana na mkakati huu mwovu wa CCM na serikali yao....

ASIKUDANGANYE MTU bwana, kwa mchezo huu ambao waasisi ni CCM mwenyewe, CHADEMA ni washindi na wamewachapa goli za kutosha CCM na kwa aibu wakawa wametafuta mbinu ya kuumaliza mchezo apema kuepuka kushindiliwa magoli zaidi....!

NARUDIA TENA, ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kule kuwaona kina Zitto Kabwe na hawa wanaoitwa "viongozi wa dini" wakiokotezwa na kisha wakatengenezewa mazingira na kukaribishw Ikulu ili wajifanye kumsihi Rais kumsamehe Freeman Mbowe ili hili lililofanyika leo ionekana ni kwa sababu "Rais Samia kawasikia viongozi hao".

USIDANGANYIKE na hayo maigizo. Ni uongo mtupu wa kufuta aibu ya malkia na serikali yake.....!

ASIKUDANGANYE MTU, wote tunaelewa serikali yoyote ikiwemo hii yetu ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu [CCM] huwa madarakani kwa mlango wa siasa na hu - mantain uwepo wake madarakani kwa mbinu za kisiasa zozote zile iwe halali ama haramu....

Katika hili la kesi ya Freeman A. Mbowe ilikuwa mbinu haramu na pengine ya kijinga na kipumbavu sana ya serikali hii chini ya CCM kujaribu kuji - maintain lakini bahati wameshindwa spectacularly...!

Kwa kuwa ilikuwa mbinu haramu matokeo yake hata mikakati [strategies] zao zikawa za kijinga na kipumbavu kabisa....

Mathalani, kitendo cha Rais Samia kwenda kufyatuka uongo wa mchana kweupe akihojiwa na kituo cha TV cha BBC Swahili kuwa baadhi ya wahalifu wenzake na Freeman Mbowe walishahukumiwa na kufungwa gerezani ilikuwa uthibitisho wa kwanza wa wanamikakati (strategists) wa CCM kushindwa kabla ya mkakati kufikia hata robo tu....

CHADEMA hongereni. You are the winners. I see the light at the end of the tunnel. Keep on going. Harakati za kudai katiba bora na mpya, demokrasia na haki ziendelee...

Hawa watawala majuha wa aina hii hawastahili kulegezewa hata kidogo. Sasa wapigaji, wakiweza, wawatembezee kipigo kwenye mshono nonstop mpaka akili iwakae sawa![emoji28]
 
ASIKUDANGANYE MTU, kwa propaganda yoyote kuwa DPP kutangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na mashitaka ya tuhuma za ugaidi na uhujumu uchumi dhidi ya M/Kiti wa CHADEMA - Taifa ndugu Freeman A. Mbowe na wenzake eti ni kwa sababu zingine zozote zile bali ilikuwa ni suala la muda tu siku hii ifike...

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa ule ugeni wa wanaoitwa "viongozi wa dini" ikulu na kauli ya Zito Kabwe siku chache zilizopita kule Dodoma wakati wa kilichoitwa "mkutano wa Mutungi - Msajili wa vyama vya siasa kwa mwavuli wa TCD" iliyozua tafrani ya kumwombea msamaha zina influence yoyote kwa maamuzi ya DPP leo kuiondoa kesi hii mahakamani....!

Yote na kote huko ilikuwa ni harakati za serikali kutafuta mlango wa kutokea tu ili kuliondoa jambo hilo mahakamani kwa sababu kila mtu aliona kwa macho na kusikia kwa masikio yake kutoka day one kuwa hakukuwa na ushahidi wa kuthibitisha mashitaka hayo...!

ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kesi hii ilikuwa ni jinai kweli kwa maana ya jinai. Huu ulikuwa mchezo na mkakati wa kisiasa wa CCM kwa mgongo wa SERIKALI dhidi CHADEMA chama kinachotishia uhai na uwepo wa CCM madarakani...!

Kilichofanyika ni CHADEMA kukutwa wamejiandaa vyema kukabiliana na mkakati huu mwovu wa CCM na serikali yao....

ASIKUDANGANYE MTU bwana, kwa mchezo huu ambao waasisi ni CCM mwenyewe, CHADEMA ni washindi na wamewachapa goli za kutosha CCM na kwa aibu wakawa wametafuta mbinu ya kuumaliza mchezo apema kuepuka kushindiliwa magoli zaidi....!

NARUDIA TENA, ASIKUDANGANYE MTU, kuwa kule kuwaona kina Zitto Kabwe na hawa wanaoitwa "viongozi wa dini" wakiokotezwa na kisha wakatengenezewa mazingira na kukaribishw Ikulu ili wajifanye kumsihi Rais kumsamehe Freeman Mbowe ili hili lililofanyika leo ionekana ni kwa sababu "Rais Samia kawasikia viongozi hao".

USIDANGANYIKE na hayo maigizo. Ni uongo mtupu wa kufuta aibu ya malkia na serikali yake.....!

ASIKUDANGANYE MTU, wote tunaelewa serikali yoyote ikiwemo hii yetu ya JMT chini ya Rais Samia Suluhu [CCM] huwa madarakani kwa mlango wa siasa na hu - mantain uwepo wake madarakani kwa mbinu za kisiasa zozote zile iwe halali ama haramu....

Katika hili la kesi ya Freeman A. Mbowe ilikuwa mbinu haramu na pengine ya kijinga na kipumbavu sana ya serikali hii chini ya CCM kujaribu kuji - maintain lakini bahati wameshindwa spectacularly...!

Kwa kuwa ilikuwa mbinu haramu matokeo yake hata mikakati [strategies] zao zikawa za kijinga na kipumbavu kabisa....

Mathalani, kitendo cha Rais Samia kwenda kufyatuka uongo wa mchana kweupe akihojiwa na kituo cha TV cha BBC Swahili kuwa baadhi ya wahalifu wenzake na Freeman Mbowe walishahukumiwa na kufungwa gerezani ilikuwa uthibitisho wa kwanza wa wanamikakati (strategists) wa CCM kushindwa kabla ya mkakati kufikia hata robo tu....

CHADEMA hongereni. You are the winners. I see the light at the end of the tunnel. Keep on going. Harakati za kudai katiba bora na mpya, demokrasia na haki ziendelee...
Asikudanganye Mtu watanzania wote wapenda mema tulipambana sana na kutiana moyo bila kuchoka nyakati ngumu sana.

Hatimaye Mungu ametenda
 
ni msamaha wa Rais Samia usidanganywe
Ni uongo na unajua kabisa kuwa unadanganya aidha kwa makusudi wa kwa ujinga wa kutojua...

Hakuna sheria inayompa mamlaka Rais kutoa masamaha kwa mtu ambaye hajatiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu ya kifungo jela na mahakama

Kina Mbowe shauri lao lilikuwa bado linaendelea mahakamani. Walikuwa hajakutwa na hatia wala kuhukumiwa kifungo jela...!!

Mbowe na wenzake amefutiwa mashitaka kwa sababu aliyekuwa anawashitaki ame - surrender mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe...!!
 
Mimi kinachonishangaza ni kwa nini jaji asingemaliza mchezo kwa kusema hawana kesi ya kujibu na mchezo ukaishia pale??
Walikuwa wanalindwa walio ileta kesi na kuiendesha kwa ushahidi usio wiana baina yao. Kuimaliza kama ulivyo uliza ilikuwa ni aibu kubwa kwao.
Wamelindwa,wamelindika na wamepata ahueni.
 
Back
Top Bottom