Kuachiwa huru kwa Freeman Mbowe na wenzake hakuna sababu nyingine isipokuwa ushahidi wa Jamhuri kutothibitisha mashitaka

Mama alingizwa chaka kitambo sana. Parallel state imemchafua sana
 
Achana na huyo asiyejielewa.

Mbowe alishasema kwanza hawezi kuonana na Rais akiwa na wasaliti. Pili alisema hawezi kuuza haki kwa mkate wa chai. Tatu alisema kwa kupigania haki hata wamuue haachi. Imethibitika haijathibitika??
 
Achana na huyo asiyejielewa.

Mbowe alishasema kwanza hawezi kuonana na Rais akiwa na wasaliti. Pili alisema hawezi kuuza haki kwa mkate wa chai. Tatu alisema kwa kupigania haki hata wamuue haachi. Imethibitika haijathibitika??
Imethibitika bila shaka...!
 
Kwani huku kwetu Afrika watu wanahitaji ushahidi?
Hawakutaka kumfunga tu ila wangetaka wangelimfunga na isiwe chochote.
Hizo ni trick za ccm kutengeneza tatitzo then wakalitatua ili wapate credit kwa jamii ya kimataifa. Na kwa staily hii ccm itangoza sana tu maana hamna upinzani wa kweli
 
Jamani inatosha , Mswalieni Mtume basi , Khaaaa !!!
 
ni msamaha wa Rais Samia usidanganywe

Rais hana mamlaka ya kutoa msamaha kwa mtuhumiwa ambaye bado hajatiwa hatiani na mahakama.

Msamaha wa aina hiyo ni muendelezo wa upumbavu wa kushindwa kuheshimu Rule of Law!
 
..Zitto alitaka Mbowe amuombe Mama msamaha.

..badala yake Mama ndio amemuomba msamaha Mbowe kwa kumuita Ikulu.
Tena kwa kusafiri usiku toka Dodoma kumfuata Mbowe Dar. Na bado Zero yuko ofisini bila aibu. Anasubiri kutimiliwa kwa aibu.
 
Mimi kinachonishangaza ni kwa nini jaji asingemaliza mchezo kwa kusema hawana kesi ya kujibu na mchezo ukaishia pale??
Jaji wa mchongo alikuwa kimaslahi zaidi. Per diem zilimfanya asahau wajibu wake.
 
Rais anaomba kukutana na Gaidi Ikulu🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Sasa huyo jaji ushahid aliutoa wapi mpaka aseme wajibu huku dpp anaona hakuna ushahidi pale
 
Serikali Ina nakala ya uamuzi (ruling) kwamba Mbowe ana kesi ya kujibu na ushahidi ulitosha, Mbowe alijihusisha na ugaidi, na ndio maana akaambiwa ajitetee, ashukuru viongozi wa dini wamemuokoa
 
Mjinga hatambulishwi, hujitambulisha
 
Ingekua dpp hajathibitisha mashtaka mbowe angekutwa vipi na kesi ya kujibu? Shukuruni mungu tuna rais dhaifu kalanghaiwa na viongozi wa dini. Mbowe angeenda jela tu akapepete mdomo huko jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…