Kuachiwa huru kwa Freeman Mbowe na wenzake hakuna sababu nyingine isipokuwa ushahidi wa Jamhuri kutothibitisha mashitaka

Hutomsikia tena anaongea Jambo la katiba mpya

Hata asipoliongelea tutaliongelea sisi maana sio Mbowe anatulazimisha kudai katiba mpya. Kama unadhani tunamsubiri Mbowe ili kudai katiba mpya basi umepotea. Tena anatakiwa akae kimya ili tuidai, kuliko yeye aendelee kuidai na kuishia kubambikiwa kesi.
 

Hahahaha sasa Kaka shida yenu mnadai kwenye jf Tu

Ilitakiwa tuwaone mko road
 
Maccm yanaweweseka
 
Hahahaha sasa Kaka shida yenu mnadai kwenye jf Tu

Ilitakiwa tuwaone mko road

Kwenda barabarani ni moja ya mbinu, ila zipo nyingi mno, na dunia hii ya technology, mitandao ya kijamii ni njia muhimu. Huenda ww ni mzee hivyo bado unaamini mbinu za kizamani tu, jiongeze boss. Zamani ili upate elimu ilikuwa lazima uende darasani physical, sasa hivi watu wanapata degree, PhD nk kupitia online studies na kinaeleweka.
 

Nakuelewa Sana but sio Kwa watu wa chadema hii,
 
Wadai fidia kama ni hivyo.
 
Ushahidi ulikuwa dhaifu na wa hovyo.

Imelazimu Mbowe aachiwe huru, na aitwe ikulu kuombwa msamaha, na kupewa pole.
Siyo ushahidi dhaifu bali washtaki hawakuwa na ushahidi wowote kwa sababu hapakuwahi kupangwa/kutendwa uhalifu wowote na washtakiwa.
That was a CRAP!
 
Mimi kinachonishangaza ni kwa nini jaji asingemaliza mchezo kwa kusema hawana kesi ya kujibu na mchezo ukaishia pale??
Wanatengeneza tatizo halafu wanajifanya kulitatua ili wajipatie political mileage,hayo ni maigizo ya siku zote ya CCM wakiona maji ya shingo.
Tumewakamata!
 

Umepiga mule mule, pekechee! Alokwazika akajinyonge.
 
Sasa Kama aliachia watuhumiwa wa ugaidi lukuki wenye ndevu nyingi na makubazi miguuni angeacha kumwamchia huyo mtuhumiwa mmoja wa tuhuma Kama hizo hizo za wenye ndevu nyingi na makubazi miguuni akaeleweka kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…