Safi sana. Wanaccm wenye nia njema kumbe mpo.Mie CCM, kada kinda kinda, nimefurahi legacy ya utesaji wa nanihii.....inasambaratishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana. Wanaccm wenye nia njema kumbe mpo.Mie CCM, kada kinda kinda, nimefurahi legacy ya utesaji wa nanihii.....inasambaratishwa.
wapo wengi sana. Bado Idugunde na Countrywide na mudawoteHauko peke yako mkuu.
Kada mwingine kindaki ndaki wa chama mboga mboga bwana Stuxnet anasimama na sisi leo pia.
Tanzania ni moja. Tanzania imeshinda. Tujenge nchi kwa misingi ya haki.
View attachment 2142021
Wacha viduku pichani wakule jeuri yao - kule waliko peleka mboga.
Hata katika CCM kuna watu wa ajabu.Safi sana. Wanaccm wenye nia njema kumbe mpo.
Bado najiuliza kwa nini Police wetu wanathubutu kuwabambikizia watu kesi kubwa kubwa kama hizi ?
Hata katika CCM kuna watu wa ajabu.
Hata Kikwete akiwa Rais alisema, kwenye vikao vya CCM watu hawaachiani glasi ya maji ukienda maliwatoni.
Hao ndio insider virus ndani ya chama , na wakijipenyeza kushika serikali ndio hayo ya Awamu ya 5.
Bila shinikizo toka nje asingemuachia
Hii ishu tulimuonya mapema amedanganywa hakusikia.
Usikia baada ya mambo kwenda mrama.
Simple tu la kujiuliza Mbowe awe gaidi magufuli angemuacha kweli hali alimsakata usiku kwa mchana ikiwemo kumfatilia
Naunga mkono hoja bila kusahau:Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
Duh I wish ningepewa Ajira to think and say what I think..., Ingekuwa bora zaidi...Pole!
Uguza maumivu.
We can just tell uliko ajiriwa.
Mkuu mmepigwa.Duh I wish ningepewa Ajira to think and say what I think..., Ingekuwa bora zaidi...
Pili I can l understand na ninapenda hata wale waliajiriwa hata wakisema issue ninazopinga tawapinga kwa hoja na sio kwa Shutuma (hivyo ndivyo tunavyojenga) Nguvu ya Hoja...
Sasa wale wa kundi lako ambao ni lazima mawazo yafanane au tukubaliane ni vigumu kujenga / kufikia conclusion..., sababu jibu ni either unatu-support au wewe ni msaliti / umenunuliwa (inakuwa sio kuongelea issues tena bali inakuwa personal)..., Mimi ni Muumini wa Msemo kwamba "I might not agree with what you Say, but I will defend it to Death for your Right to Say It)...., Wote tukikubaliana life will be Boring na tutashindwa kuimarisha...
Kwa kumalizia namalizia na Qoute ya Thatcher...
"I love argument. I love debate. I don't expect anyone just to sit there and agree with me - that's not their job." 1980.
Hebu tupe hiyoSasa mbona wabunge wa CCM wanaanza kumlaumu mama kwamba hawatayaona majimbo yao tena? Au we hujasikia
Nchi hii ni yetu sote. Toka vyama vingi vinaanza mwaka 1995 hatukuwa na chuki za kiitikadi kama yule MRUNDI alivyofanya mwaka 2016-20. Ila Mungu wetu ni mwema, kamsambaratisha kabla hajatuharibiaa Nchi yetu sana. Rot in Hell MagufuliHauko peke yako mkuu.
Kada mwingine kindaki ndaki wa chama mboga mboga bwana Stuxnet anasimama na sisi leo pia.
Tanzania ni moja. Tanzania imeshinda. Tujenge nchi kwa misingi ya haki.
View attachment 2142021
Wacha viduku pichani wakule jeuri yao - kule waliko peleka mboga.
Jidu La Mabambasi kutana na bwana Stuxnet tujenge nchi yetu kwa amani.Nchi hii ni yetu sote. Toka vyama vingi vinaanza mwaka 1995 hatukuwa na chuki za kiitikadi kama yule MRUNDI alivyofanya mwaka 2016-20. Ila Mungu wetu ni mwema, kamsambaratisha kabla hajatuharibiaa Nchi yetu sana. Rot in Hell Magufuli