Kuachiwa Mbowe na Wenzake, Tanzania imeshinda

Kuachiwa Mbowe na Wenzake, Tanzania imeshinda

Safi sana. Wanaccm wenye nia njema kumbe mpo.
Hata katika CCM kuna watu wa ajabu.
Hata Kikwete akiwa Rais alisema, kwenye vikao vya CCM watu hawaachiani glasi ya maji ukienda maliwatoni.
Hao ndio insider virus ndani ya chama , na wakijipenyeza kushika serikali ndio hayo ya Awamu ya 5.
 
Bado najiuliza kwa nini Police wetu wanathubutu kuwabambikizia watu kesi kubwa kubwa kama hizi ?

Roho za kishweitwan. Jiulize walitokomea wapi na Moses Lijenje? Chini hapa anajua na amekausha tu kama vile yule bwana hakuwa bin Adam:

IMG_20220305_073032_979.jpg
 
Hata katika CCM kuna watu wa ajabu.
Hata Kikwete akiwa Rais alisema, kwenye vikao vya CCM watu hawaachiani glasi ya maji ukienda maliwatoni.
Hao ndio insider virus ndani ya chama , na wakijipenyeza kushika serikali ndio hayo ya Awamu ya 5.

Tushirikiane kulisafisha genge hili na washirika wao hawa:

IMG_20220306_053509_333.jpg


Roho mbaya! Roho heri ya shweitani mwenyewe?! Looh!

Eti viumbe wa mola. Si heri ya nyoka mwenye sumu?
 
Hii ishu tulimuonya mapema amedanganywa hakusikia.
Usikia baada ya mambo kwenda mrama.
Simple tu la kujiuliza Mbowe awe gaidi magufuli angemuacha kweli hali alimsakata usiku kwa mchana ikiwemo kumfatilia
 
Hii ishu tulimuonya mapema amedanganywa hakusikia.
Usikia baada ya mambo kwenda mrama.
Simple tu la kujiuliza Mbowe awe gaidi magufuli angemuacha kweli hali alimsakata usiku kwa mchana ikiwemo kumfatilia

Kosa ni kurudia kosa na kosa moja halifukuzishi mke.

Yaliyopita si ndwele, tujenge nchi sasa. Katiba mpya ni sehemu ya ujenzi huo.

Hata hivyo wa kusafisha wapo:

IMG_20220305_151655_415.jpg


Au nasema uongo ndugu zangu?
 
IGP alisema anao ushahidi Mbowe ni gaidi. Achukuliwe hatua kwa kudanganya umma. Ndio waliompotosha mama.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
Naunga mkono hoja bila kusahau:

Wahusika kwenye kadhia ya Mbowe Wawajibishwe
 
Pole!
Uguza maumivu.
We can just tell uliko ajiriwa.
Duh I wish ningepewa Ajira to think and say what I think..., Ingekuwa bora zaidi...

Pili I can l understand na ninapenda hata wale waliajiriwa hata wakisema issue ninazopinga tawapinga kwa hoja na sio kwa Shutuma (hivyo ndivyo tunavyojenga) Nguvu ya Hoja...

Sasa wale wa kundi lako ambao ni lazima mawazo yafanane au tukubaliane ni vigumu kujenga / kufikia conclusion..., sababu jibu ni either unatu-support au wewe ni msaliti / umenunuliwa (inakuwa sio kuongelea issues tena bali inakuwa personal)..., Mimi ni Muumini wa Msemo kwamba "I might not agree with what you Say, but I will defend it to Death for your Right to Say It)...., Wote tukikubaliana life will be Boring na tutashindwa kuimarisha...

Kwa kumalizia namalizia na Qoute ya Thatcher...

"I love argument. I love debate. I don't expect anyone just to sit there and agree with me - that's not their job." 1980.
 
Duh I wish ningepewa Ajira to think and say what I think..., Ingekuwa bora zaidi...

Pili I can l understand na ninapenda hata wale waliajiriwa hata wakisema issue ninazopinga tawapinga kwa hoja na sio kwa Shutuma (hivyo ndivyo tunavyojenga) Nguvu ya Hoja...

Sasa wale wa kundi lako ambao ni lazima mawazo yafanane au tukubaliane ni vigumu kujenga / kufikia conclusion..., sababu jibu ni either unatu-support au wewe ni msaliti / umenunuliwa (inakuwa sio kuongelea issues tena bali inakuwa personal)..., Mimi ni Muumini wa Msemo kwamba "I might not agree with what you Say, but I will defend it to Death for your Right to Say It)...., Wote tukikubaliana life will be Boring na tutashindwa kuimarisha...

Kwa kumalizia namalizia na Qoute ya Thatcher...

"I love argument. I love debate. I don't expect anyone just to sit there and agree with me - that's not their job." 1980.
Mkuu mmepigwa.
Pole sana.
Hizi ndio athari za kuviingiza vyombo vinavyotakiwa kuwa apolitical , kama kubeba mabegi ya kura feki.
Thinking that they helping the state kumbe mbele wanaonekana wapuuzi tu.
 
Hauko peke yako mkuu.

Kada mwingine kindaki ndaki wa chama mboga mboga bwana Stuxnet anasimama na sisi leo pia.

Tanzania ni moja. Tanzania imeshinda. Tujenge nchi kwa misingi ya haki.

View attachment 2142021

Wacha viduku pichani wakule jeuri yao - kule waliko peleka mboga.
Nchi hii ni yetu sote. Toka vyama vingi vinaanza mwaka 1995 hatukuwa na chuki za kiitikadi kama yule MRUNDI alivyofanya mwaka 2016-20. Ila Mungu wetu ni mwema, kamsambaratisha kabla hajatuharibiaa Nchi yetu sana. Rot in Hell Magufuli
 
Nchi hii ni yetu sote. Toka vyama vingi vinaanza mwaka 1995 hatukuwa na chuki za kiitikadi kama yule MRUNDI alivyofanya mwaka 2016-20. Ila Mungu wetu ni mwema, kamsambaratisha kabla hajatuharibiaa Nchi yetu sana. Rot in Hell Magufuli
Jidu La Mabambasi kutana na bwana Stuxnet tujenge nchi yetu kwa amani.

Magaidi ni kwamba, yako huko:

IMG_20220307_180618_102.jpg
 
Back
Top Bottom