Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Wakuu,naombeni mwenye hukumu ya Canada atusaidie kutuwekea humu
 
Minyoo, kwa hiyo basi mimi ni Le mutuz ndiyo Majungu yenyewe hayo. Hunifahamu sikufahamu then unaruka kimanga ati unanifahamu. Sorry mate I am not the person you think, I just happen to be clever than you. I only argue about the points presented it does not matter who presented his/her views to be discussed. all in all its about our beloved country. Sasa mkuu onyesha dharau yangu kwa Watanzania.



Kumbe mkulima yupo Tanzania, hebu tupe ushahidi basi? Kama nakumbuka vizuri wakati wa ile kesi kule Gautang SA aliambiwa afuatilie Tanzania. Je, kulikoni? Tuwekee hizo facts maana kama huna itakuwa majungu.

BTW Sina sababu ya kutaka cheo kwenye Serikali ya JPM, kama ningetamani cheo nakupa guarantee leo hii ningekwenda kuomba nionane nae binafsi na kumpa CV yangu personally. Angeniajiri bila pupepesa macho au angeniambia sipo sahihi kwenye mipango yake, ni sawa na mwajiri yeyote yule. Mimi sina haja ya kuzunguka mbuyu maana hapa nilipo sihitaji kuajiriwa Tanzania. Mimi ni Employer naajiri watu kunifanyia kazi. When the time is right (and that time is becoming nearer and nearer every day on this Government) nitaajiri Watanzania wengi, kwa hiyo basi usiwe na homa ya kwashakoo kufikiri mimi ni hoe hae kama wewe.
Malizia basi! Mabebez, you know! Ila ile habari ya kibamia ilikunyong'onyeza sana mzee!
 
Mleta mada jaribu kuwaza japo kwa kiwango cha akili za kuku!
Lisu na Fatuma ndio wanakamata ndege?
Umejaribu kusoma na kujua chanzo cha ndege kukamatwa ninini?
Si unajua dawa ya deni?
Unajua kilichofanyika hadi ikaachiwa nchini Canada? stay tuned.
Ni vyema uwe unatumia akili ndogo ulizojaaliwa kutafakari badala ya kukurupuka.
 
Mleta mada jaribu kuwaza japo kwa kiwango cha akili za kuku!
Lisu na Fatuma ndio wanakamata ndege?
Umejaribu kusoma na kujua chanzo cha ndege kukamatwa ninini?
Si unajua dawa ya deni?
Unajua kilichofanyika hadi ikaachiwa nchini Canada? stay tuned.
Ni vyema uwe unatumia akili ndogo ulizojaaliwa kutafakari badala ya kukurupuka.
Kwahiyo hizi ndio akili za kuku?bure kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Nani amuombe radhi mtu wa JALALANI?
 
Malizia basi! Mabebez, you know! Ila ile habari ya kibamia ilikunyong'onyeza sana mzee!

Mkuu huyo mtoto wa waziri mkuu mstaafu mwacheni. I do not know him and he does not know me. FYI I never lived in USA and I do not have an iota to live in a segregated place. Bring your arguments we can discuss as mature people with points. Ukishindwa hoja ndio unakimbilia kusema ati unanifahamu/unamfahamu mtu. Absolutely rubbish.

Huwezi kuniambia leo hii ati Canada nao wanashindwa kutoa taarifa za kesi zinazosikilizwa kwenye mahakama zao. Kushindwa kuleta ushahidi huo unaonyesha jinsi members wengi wa JF walivyo watupu kwenye mambo ya msingi.
 

Mkuu huyo mtoto wa waziri mkuu mstaafu mwacheni. I do not know him and he does not know me. FYI I never lived in USA and I do not have an iota to live in a segregated place. Bring your arguments we can discuss as mature people with points. Ukishindwa hoja ndio unakimbilia kusema ati unanifahamu/unamfahamu mtu. Absolutely rubbish.

Huwezi kuniambia leo hii ati Canada nao wanashindwa kutoa taarifa za kesi zinazosikilizwa kwenye mahakama zao. Kushindwa kuleta ushahidi huo unaonyesha jinsi members wengi wa JF walivyo watupu kwenye mambo ya msingi.
OK, tuache hayo mengine maana ni jokes tuu, JF SAA zote sio kukomaza shingo itavunjika. Lazima utani kidogo uwepo na mambo ya hapa na pale.
Turudi kwenye la msingi. Jee ni wajibu wetu kutafuta hukumu ya mahakama kama vile tuna kesi nyingine na serikali hivyo tunataka reference?
Ni serikali yetu iliyotumia fedha nyingi kuhusu kesi hiyo kutufahamisha tumeshindaje? Maana kurudishwa ndege yetu sio kushinda maana ni Mali yetu hiyo! Mkulima ndio alishika hiyo ndege yetu ili alipwe fedha zake, kama kalipwa fedha zake na kuachia ndege tunajitapaje kuwa tumeshinda? Aliyeshinda ni mkulima.
Tuambiwe ukweli tuu, wala sio jambo LA aibu Bali fahari kuweza kulipa deni.
Wakishindwa/kukataa kutuambia wajuzi watapekenyua na judgement itawekwa hapa! Chezea JF wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom