Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #341
SawaNipigie kwenye namba hii ukiwa na mda tuongee vizuri 0688953505
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNipigie kwenye namba hii ukiwa na mda tuongee vizuri 0688953505
Vp umepewa gawio!!?View attachment 1290856
Mkulima akizihesabu na kuzihakikisha huko Canada
Kwa jinsi ulivyopiga domo humu....View attachment 1291038
Mkulima kanunua hadi mashine ya kuhesabia noti ayayayaay!!
Unataka kudanga!!?Nadhani tumelipa deni ngoja tumtafute mkulima
Kwa mujibu wa maandishi yako, Shetani ndio huyo huyo 'mungu' uliyemtaja.Unauliza kinafiki mahasimu wakubwa nyie
Kesho mtajua majibu yenu pale mwanza
Sikuzote Shetani hawezi shinda nguvu za mungu
Poleni
Mimi hupenda kuona jaki ikitendeka sina njaa ya mgaoKwa jinsi ulivyopiga domo humu....
kama hujapewa gawio......
kweli nitaamini mzungu hana adabu kabisa...
Malizia basi! Mabebez, you know! Ila ile habari ya kibamia ilikunyong'onyeza sana mzee!Minyoo, kwa hiyo basi mimi ni Le mutuz ndiyo Majungu yenyewe hayo. Hunifahamu sikufahamu then unaruka kimanga ati unanifahamu. Sorry mate I am not the person you think, I just happen to be clever than you. I only argue about the points presented it does not matter who presented his/her views to be discussed. all in all its about our beloved country. Sasa mkuu onyesha dharau yangu kwa Watanzania.
Kumbe mkulima yupo Tanzania, hebu tupe ushahidi basi? Kama nakumbuka vizuri wakati wa ile kesi kule Gautang SA aliambiwa afuatilie Tanzania. Je, kulikoni? Tuwekee hizo facts maana kama huna itakuwa majungu.
BTW Sina sababu ya kutaka cheo kwenye Serikali ya JPM, kama ningetamani cheo nakupa guarantee leo hii ningekwenda kuomba nionane nae binafsi na kumpa CV yangu personally. Angeniajiri bila pupepesa macho au angeniambia sipo sahihi kwenye mipango yake, ni sawa na mwajiri yeyote yule. Mimi sina haja ya kuzunguka mbuyu maana hapa nilipo sihitaji kuajiriwa Tanzania. Mimi ni Employer naajiri watu kunifanyia kazi. When the time is right (and that time is becoming nearer and nearer every day on this Government) nitaajiri Watanzania wengi, kwa hiyo basi usiwe na homa ya kwashakoo kufikiri mimi ni hoe hae kama wewe.
Si kweli,wewe ulifurahia usaliti wa Chadema kufanya biashara ya nafasi ya kugombea urais mwaka 2015Mimi hupenda kuona jaki ikitendeka sina njaa ya mgao
Uongo gani. Hukuona nakala ya hukumu ya mahakama ya Jo'burg jinsi serikali ilivyomshinda mkulima Steyn?
Sio kweli mimi 2015 nilikua CCMSi kweli,wewe ulifurahia usaliti wa Chadema kufanya biashara ya nafasi ya kugombea urais mwaka 2015
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ni dona kantri,sisi ni matajiri,tumemlipa beberu chake asitusumbue tena.Tumelipa, tumesamehewa au tumeshinda kesi? Naomba majibu
Kwahiyo hizi ndio akili za kuku?bure kabisaMleta mada jaribu kuwaza japo kwa kiwango cha akili za kuku!
Lisu na Fatuma ndio wanakamata ndege?
Umejaribu kusoma na kujua chanzo cha ndege kukamatwa ninini?
Si unajua dawa ya deni?
Unajua kilichofanyika hadi ikaachiwa nchini Canada? stay tuned.
Ni vyema uwe unatumia akili ndogo ulizojaaliwa kutafakari badala ya kukurupuka.
Nilikihama chama cha mapinduzi baada ya kuanza mauwaji na kuanza kupiga risasi Watanzania mbele ya jumba la Bunge.
Nani amuombe radhi mtu wa JALALANI?Ndugu zangu,
Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.
Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).
Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.
Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.
Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Malizia basi! Mabebez, you know! Ila ile habari ya kibamia ilikunyong'onyeza sana mzee!
OK, tuache hayo mengine maana ni jokes tuu, JF SAA zote sio kukomaza shingo itavunjika. Lazima utani kidogo uwepo na mambo ya hapa na pale.
Mkuu huyo mtoto wa waziri mkuu mstaafu mwacheni. I do not know him and he does not know me. FYI I never lived in USA and I do not have an iota to live in a segregated place. Bring your arguments we can discuss as mature people with points. Ukishindwa hoja ndio unakimbilia kusema ati unanifahamu/unamfahamu mtu. Absolutely rubbish.
Huwezi kuniambia leo hii ati Canada nao wanashindwa kutoa taarifa za kesi zinazosikilizwa kwenye mahakama zao. Kushindwa kuleta ushahidi huo unaonyesha jinsi members wengi wa JF walivyo watupu kwenye mambo ya msingi.
RIP Chacha Wangwe,Pole Lissu uenyekiti umewaponzaNilikihama chama cha mapinduzi baada ya kuanza mauwaji na kuanza kupiga risasi Watanzania mbele ya jumba la Bunge.