Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Mnatanua goli, pole kwa maumivu unayopitia.Ile hukumu ya SA mliiona?
 
Pesa imelipwa ila kwa sababu serikali hii inaficha sana mambo watajifanya wameichukua kiubabe! haa wapi! uzuri ukweli ni kama mimba utauificha mwanzoni lakini watu wataanza kuona unatema mate na kula limao. Mzungu atatwambia tu. Lakini ninachojiuliza kwa nini serikali hii inaogopa ukweli na uwazi.
 
hao watu watatu kwakweli nafikiri hata ikija mvua ya kuua watanzania wote watasema bora ije kuliko kuiombea nchi mema yaani ni wanafiki haijawahi tokea ni walafi wa madaraka tu utafikiri wakipewa mdaraka kuna kitu cha maana sana watakachokifanya tuwajue tuwaogope kama ukimwi hawafai nchi hii hasa lissu abaki hukohuko aliko
 
Reactions: Oii
emalau,
hivi huyo mzungu tangu ameanza kushindwa hizo kesi alishagawaambia nyie kama ameshindwa au amelipwa? kaeni hivyo tu kupiga kelele mitandaoni ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kamanda, hata SA mlisema hivyo hivyo, tumewazoea kwa kujifariji
Ma'mdogo, Kika kitu kinachofanyika nje ya Gamba la dunia kiakuwa documented! Fanya hivi; weka nakala za hukumu za mahakama za SA na Canada hapa nizisome! Ni hivyo tu utakuwa umeshinda but kinyume chake hayo ni matokeo ya matumizi ya marejesho kutoka mashirika na makampuni ya umma! Hongereni kwa ubunifu wa kuchangisha!
 
Lakini zilikua nyingi hivyo? Basi wengine waweza kuanza kusafiri ili kumufuata atoe mgao mapema!!!
Wanasheria wake makini akina Kimaro &co watazisunda za kutosha natumaini maghorofa yataibuka kama uyoga huko Kilimanjaro haswa maeneo ya milimani
 
Huyu ndiye mkuu. Weka Hukumu hapa! Vinginevyo tutakudharau!
 
Wanasheria wake makini akina Kimaro &co watazisunda za kutosha natumaini maghorofa yataibuka kama uyoga huko Kilimanjaro haswa maeneo ya milimani
mnaota ndoto za mchana
hana hoja ya kufanya alipwe huyo
 
Tunaharaka ya nini, tunasubiri taarifa ya mapato na matumizi ya Serikali tutaziona tu hela zetu kutoka kwa CAG na Zitto 😂 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…