Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

hao watu watatu kwakweli nafikiri hata ikija mvua ya kuua watanzania wote watasema bora ije kuliko kuiombea nchi mema yaani ni wanafiki haijawahi tokea ni walafi wa madaraka tu utafikiri wakipewa mdaraka kuna kitu cha maana sana watakachokifanya tuwajue tuwaogope kama ukimwi hawafai nchi hii hasa lissu abaki hukohuko aliko na mashoga wenzie pumbafu
Muda wa kampeni bado shangazi na hakuna anayehitaji msaada wa kunadiwa Kati yao kwani majina na vivuli vyao vyatosha kushinda nafasi yoyote ya kisiasa! Jifunze kucheza tune yako kwani mliyenaye kachoka kupiga gitaa na huenda asihudhurie fiesta ijayo! Ulishawahi kuukwepa upepo? Fanya mazoezi ya kuwazoea unaowatukana Leo kwani mwakani ndio watia sahii hukumu ya kifo!
 
pic+mkulima.jpg
counting-cash-gif-4.gif

Mpunga! Mpunga! Mpunga! Mpunga! Mpunga!
 
Wewe ungefanya utafiti kdg kabla ya kukurupuka mfano;
kesi tumeshinda? au tumekubali 'kumalizana' na mzungu wa watu?
Usipende kuandika vitu ambavyo hujajua ukweli wake!
 
Huo mpunga ulikuwa uende kununua watu upinzani, ni jambo linalostahili pongezi kwa Dakta John Pombe Magufuli kumlipa mkulima aliyezulumumiwa na awamu ya kwanza
Hili jambo linaonesha ukomavu wa Rais John P Magufuli
Kilichibakia kwa Raisi wetu mpendwa ni kufufua ile kesi ya waliomshambulia Tundu Lissu pamoja na wale wote waliopotezwa na kuuwawa.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Muda wa kampeni bado shangazi na hakuna anayehitaji msaada wa kunadiwa Kati yao kwani majina na vivuli vyao vyatosha kushinda nafasi yoyote ya kisiasa! Jifunze kucheza tune yako kwani mliyenaye kachoka kupiga gitaa na huenda asihudhurie fiesta ijayo! Ulishawahi kuukwepa upepo? Fanya mazoezi ya kuwazoea unaowatukana Leo kwani mwakani ndio watia sahii hukumu ya kifo!
da hao wakiingia bora nihame dunia niende hata mars wezi wakubwa hao
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Hii ni fix ya kisiasa, hakuna ndege iliyozuiliwa wala hakuna kitu kesi,
Yote ni kutaka kumkweza mtu kisiasa ili aonekane shujaa.
 
Hii ni fix ya kisiasa, hakuna ndege iliyozuiliwa wala hakuna kitu kesi,
Yote ni kutaka kumkweza mtu kisiasa ili aonekane shujaa.
Hii ilatangazwa na mashirika yote makubwa ya habari likiwemo BBC sasa unataka kuniambia wao wamekuwa TBC shirika la jumuiya ya wazazi
 
Thubutu
Muda wa kampeni bado shangazi na hakuna anayehitaji msaada wa kunadiwa Kati yao kwani majina na vivuli vyao vyatosha kushinda nafasi yoyote ya kisiasa! Jifunze kucheza tune yako kwani mliyenaye kachoka kupiga gitaa na huenda asihudhurie fiesta ijayo! Ulishawahi kuukwepa upepo? Fanya mazoezi ya kuwazoea unaowatukana Leo kwani mwakani ndio watia sahii hukumu ya kifo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom