Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!

Utamadumi wetu unamatatizo sana yaani ndege imeshikwa wa watu wengine mara zaidi ya moja lakini badala ya kutafuta suluhisho kila mara ni kulalamikia upinzani ambao hawahusiki wala kufaidika na lolote kwa ndege kushidwa. Hatujui hata kwanini imeachiwa je tunajua ni kiasi gani kimetumiaka kulipa pesa ambacho hatuji, pesa ya mawakili wa kimataifa . Walikuwa wanalalamikia ni kulalamikia serikali kitokupata soluhisho kesho tena imeshikwa sehemu nyingine. Tuwe na utamaduni wa kutafuta soluhisho badala ya kutafuta wachawi ndani yetu.
 
Huo mpunga ulikuwa uende kununua watu upinzani ni jambo linalostahili pongezi kwa Dakta John Pombe Magufuli kumlipa mkulima aliyezulumumiwa na awamu ya kwanza
Hili jambo linaonesha ukomavu wa Rais John P Magufuli
Kilichibakia kwa Raisi wetu mpendwa ni kufufua ile kesi ya waliomshambulia Tundu Lissu pamoja na wale wote waliopotezwa na kuuwawa.

Ajishitaki
 
Hujatuambia kama mmelipa ngapi mkulima
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani Watanzania wenzetu hawachoki hata mie naanza kuamini kwamba wanaochochea ni wenzetu wa ndani wanafurahia mini Yarabi pesa yetu ilipwe mwingine badala ya kusaidia kujenga Nchi.
Ni tradion yetu kuwashangilia wenye pesa hata kama wenyewe hawaambulii kitu chochote kwenye utajiri huo wa hao watu wanao washabikiwa.

Huu utaratibu wa kuwashangilia na kuwasifia watu wenye hela ulianza zamani toka enzi ya Mwalim Nyerere. Nakumbuka Magazeti ya SUN na Uhuru wakati ule walichapisha habari za mbaharia aliyefanikiwa kurudi Tanzania na hela kem kem, gari, Computer, System na vitu vingine alivyo rudi navyo.

Gari lake na computer yake aliyo rudi nayo ilibandikwa na kuonyeshwa kwenye hayo magazeti. Ilikuwa gumzo kubwa sana mjini kuhusu baharia huyu. Sijui hali ilivyokuwa mikoani lakini Bongo ilikuwa the Story.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini zilikua nyingi hivyo? Basi wengine waweza kuanza kusafiri ili kumufuata atoe mgao mapema!!!
Mkuu milioni 33 dola ni nyingi
Ni matokeo ya siasa za majaribio ambazo ni matokeo ya wanasiasa kutafuta umaarufu

Mwalimu Nyerere asingepokea siasa za ujamaa wa kijinga tusingefikia hapa
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Huyu jamaa akitoka jumba jeupe tutakuwa na madeni ya ajabu sana
 
Leta ushahidi vinginevyo ni majungu tu kama wakati ule mlisema anakabidhiwa ndege tarehe 2 mwezi huu.
Kama fedha isingelipwa lakini kwa sasa mpunga kibindoni ndege imeachiwa.
 
Back
Top Bottom