Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kesho twiga mwingine anatua Mwanza wewe baki na hoja yako ya hukumu.Huyu ndiye mkuu. Weka Hukumu hapa! Vinginevyo tutakudharau!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho twiga mwingine anatua Mwanza wewe baki na hoja yako ya hukumu.Huyu ndiye mkuu. Weka Hukumu hapa! Vinginevyo tutakudharau!
Kamanda acha kutesekaBora tumelipa deni kuondokana na hii aibu kubwa.
Hawaishi mkuu, ni wengi mithili ya nyumbaMwingine huyu hapa nyumb!
Hakuna cha Kumuomba radhi maana hawakumkosea chochoteNdugu zangu,
Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.
Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).
Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.
Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.
Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Acha ushamba wako ujue watanzania siyo wajinga hakuna asiyejua kuwa chanzo cha hili sakata ni profeselii Kabudi kubuni Mbinu za kumdhulumu mkulima wa kizungu kwa kutengeneza mazingira ya kumfukuza Nchini ili wapate kumdhulumu kirahisi kwa njia haramu, Yaani watengeneze Tatizo wao kwa kisingizio cha uzalendo kisha watake watanzania wenye Akili timamu waone huo ni uzalendo? , acheni dharau kwa watanzania Tambua kuwa watanzania wana Akili nyingi kuliko nyinyi watetezi wa CCM mitandaoni.Ndugu zangu,
Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.
Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).
Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.
Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.
Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Chukua kalamu, nyenyua juu, funga macho halafu telemsha kwenye hiyo multiple choice yako utakapo angukia ndio jibu lako.Tumelipa, tumesamehewa au tumeshinda kesi? Naomba majibu
Lipeni Deni acheni ujinga hizo gharama za kukwepa Deni zibazidi kuwa kubwa kuliko kulipa Deni, kule South Africa mlitumia pesa nyingi na bado mnatumia nguvu kubwa kuharalisha dhuluma za kishamba.
Hukumsikiliza vizuri Kabudi wewe?
Hakuna mahala aliongelea kumlipa. Alisema wanasheria wetu mahiri wapo njiani kuelekea Canada kuieleza mahakama ya kule kuwa kuwa hilo tapeli walishalishinda South Africa. Likakata Rufaa tukalishinda tena na sasa Canada tumelishindaa tena.
Yaani UFIPA ni kilio tu kwa makamanda kwa sasa.
Kesho twiga mwingine anatua Mwanza wewe baki na hoja yako ya hukumu.
Profeselii Kabudi ndiye wa kuomba msamaha kwa kuwaingiza watanzania kwenye usumbufu kwa kutengeneza dhuluma isiyo na Tija kwa Taifa
Hukumsikiliza vizuri Kabudi wewe?
Hakuna mahala aliongelea kumlipa. Alisema wanasheria wetu mahiri wapo njiani kuelekea Canada kuieleza mahakama ya kule kuwa kuwa hilo tapeli walishalishinda South Africa. Likakata Rufaa tukalishinda tena na sasa Canada tumelishindaa tena.
Yaani UFIPA ni kilio tu kwa makamanda kwa sasa.
Kuomba radhi hawawezi sana sana wanasubiri suala jingine lijitokeze waje waanzishe uzi wa kejeli na vijembe.
Hao ni wazee wa kuhamisha magoli wazee wa matukio, wakisahau kuwa muda unakwenda hausubiri mtu.
Unapinga na kubeza maendeleo ya nchi yako? Hao jamaa wana bahati sana. Mimi ningelikuwa kiongozi wa nchi hii, wangepotea!!!!kwa kupinga maendeleo yetu, hao watu hawafai kuja kua viongozi wetu baadae.
Kesho twiga mwingine anatua Mwanza wewe baki na hoja yako ya hukumu.
Unapinga na kubeza maendeleo ya nchi yako? Hao jamaa wana bahati sana. Mimi ningelikuwa kiongozi wa nchi hii, wangepotea!!!!
Unapinga na kubeza maendeleo ya nchi yako? Hao jamaa wana bahati sana. Mimi ningelikuwa kiongozi wa nchi hii, wangepotea!!!!
Narudia tena, mna bahati! Mark my word!!Na ndiyo maana utaozea humu kwenye kibanda chakoView attachment 1291646
Sent using Jamii Forums mobile app