Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Hakuna cha Kumuomba radhi maana hawakumkosea chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Acha ushamba wako ujue watanzania siyo wajinga hakuna asiyejua kuwa chanzo cha hili sakata ni profeselii Kabudi kubuni Mbinu za kumdhulumu mkulima wa kizungu kwa kutengeneza mazingira ya kumfukuza Nchini ili wapate kumdhulumu kirahisi kwa njia haramu, Yaani watengeneze Tatizo wao kwa kisingizio cha uzalendo kisha watake watanzania wenye Akili timamu waone huo ni uzalendo? , acheni dharau kwa watanzania Tambua kuwa watanzania wana Akili nyingi kuliko nyinyi watetezi wa CCM mitandaoni.
 
Hukumsikiliza vizuri Kabudi wewe?
Hakuna mahala aliongelea kumlipa. Alisema wanasheria wetu mahiri wapo njiani kuelekea Canada kuieleza mahakama ya kule kuwa kuwa hilo tapeli walishalishinda South Africa. Likakata Rufaa tukalishinda tena na sasa Canada tumelishindaa tena.
Yaani UFIPA ni kilio tu kwa makamanda kwa sasa.
 
Hukumsikiliza vizuri Kabudi wewe?
Hakuna mahala aliongelea kumlipa. Alisema wanasheria wetu mahiri wapo njiani kuelekea Canada kuieleza mahakama ya kule kuwa kuwa hilo tapeli walishalishinda South Africa. Likakata Rufaa tukalishinda tena na sasa Canada tumelishindaa tena.
Yaani UFIPA ni kilio tu kwa makamanda kwa sasa.

Acha hizo ujue watanzania wanajua mkulima wa kizungu anadai Deni halali siyo Tapeli, kujimwambafy kutumia gharama kubwa kukwepa Deni ni matumizi mabaya ya pesa za umma
 
Kawadanganye wadanganyika wenzako
Hukumsikiliza vizuri Kabudi wewe?
Hakuna mahala aliongelea kumlipa. Alisema wanasheria wetu mahiri wapo njiani kuelekea Canada kuieleza mahakama ya kule kuwa kuwa hilo tapeli walishalishinda South Africa. Likakata Rufaa tukalishinda tena na sasa Canada tumelishindaa tena.
Yaani UFIPA ni kilio tu kwa makamanda kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuomba radhi hawawezi sana sana wanasubiri suala jingine lijitokeze waje waanzishe uzi wa kejeli na vijembe.

Hao ni wazee wa kuhamisha magoli wazee wa matukio, wakisahau kuwa muda unakwenda hausubiri mtu.

Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali kwa kila kitu kidogo kikubwa matukio hawatakiwi kuacha chochote kile popote Nchini, usiwapangie cha kukosoa lazima wapite na mapungufu yote mda wote.
 
Na ndiyo maana utaozea humu kwenye kibanda chako
Unapinga na kubeza maendeleo ya nchi yako? Hao jamaa wana bahati sana. Mimi ningelikuwa kiongozi wa nchi hii, wangepotea!!!!
FB_IMG_1575349995632.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapinga na kubeza maendeleo ya nchi yako? Hao jamaa wana bahati sana. Mimi ningelikuwa kiongozi wa nchi hii, wangepotea!!!!

Huwezi kuwa kiongozi na hata ungekuwa kiongozi ungekufa kwa laana ya uonevu usio na Tija, kazi ya upinzani siyo kuifagilia Serikali kwa mapungufu yake, kazi ya upinzani ni kupinga vitu mambo yote ya hovyo hovyo pasipo kuchagua wala kubagua
 
Back
Top Bottom