Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Kuachiwa Ndege Canada: Lissu, Fatma Karume na Membe muombeni radhi Profesa Kabudi

Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Kushinda kesi ya madai ni kulipa na anayeshinda ni mdai siyo mdaiwa kwa hiyo Watanzania tufurahi na kutembea kifua mbele tu kuwa sasa deni moja kati ya mengi limelipwa. Watajwa hawana haja ya kuomba msamaha kwa tendo la ndege zetu za abiria kukamatwa mara tatu katika muda mfupi kumetia doa baya sana kibiashara maana abiria wa nchi za nje wataogopa kusafiri na ATCL. Pia biashara ya usafiri wa anga unaendeshwa kwa kukopa, mfano, mafuta ya ndege hutembei nayo kwenye madumu, vyakula unakuwa na kampuni maalum ya catering kutoa huduma hiyo, nk kwahiyo kama tuna tabia kutolipa madeni, nao wataogopa kutoa huduma ili kuepuka kuburuzana mahakamani.
 
Kumlipiza kwa matusi sio sawa kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukua kwa upanga nawe utauawa kwa upanga. Ametoa matusi anarudishiwa matusi. Kibaya ni kama kile mlichokifanya kwa Lisu. Badala ya kumjibu Lisu kwa hoja , mlimjibu kwa Rasasi! hii ndiyo mbaya. Hoja kwa hoja, matusi kwa matusi , Risasi kwa risasi and not otherwise!
 
da hao wakiingia bora nihame dunia niende hata mars wezi wakubwa hao
Nawe ni CT humu jf? Kwani wanaokuongoza leo hii ni malaika? Hawajawahi kuiba chochote? Endelea kulamba unga wa ndele huku wanaokuongoza wakichikichia 1.5 bn!
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
rudisheni fedhan zetu mnazotapanya kwa bhangi zenu mnalipa kwa ulevi wenu wa upumbavu mmelipa tena kodi zetu 🙂👹👹👹👹👹
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Kikubwa Mzungu kalipwa hela yake na ndege imeachiwa.
Kabugi na boss wake wameifyata mikia yao.
Na bado zitakamatwa sana maana madeni ni mengi.
Ukweli Jiwe kayakuta lakini atatuachia mengi na makubwa mara kumi ya aliyoyakuta.
 
Leteni hati ya hukumu na cost za kesi acheni porojo.

Hati za hukumu za south africa na za canada ziko wapi? kwanini iwe siri wakati ni pesa za walipa kodi?

Mkulima kalipa garama za kesi? za kulala hotel za nyota 5 ujumbe wa kabudi South Na Canada?

Watanzania sio wajinga kiivyo.
Na wewe leta huku ya kesi ya huko Canada inayoonyesha kwamba Mkulima kashinda na serikali imeagizwa kumlipa. Usipinge kwa maneno wao wameeleza kwamba wao wanasema kwamba hukumu imetolewa dhidi ya serikali tuamini hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Takribani majuma mawili yaliyopita Waziri wa Mambo ya nje Prof.Palamaganda Kabudi aliutaarifu Umma kutokea Dodoma siku ambayo Rais Magufuli alikuwa na kazi ya kikatiba kuwaapisha mabalozi wetu.

Prof.Kabudi alimuelezea rais huku akieleza jinsi ambavyo wananchi wa Tanzania watauchukua ushindi dhidi ya kaburu Stein kwa mara nyingine baada ya ''kumcharaza'' katika mahakama ya Gauteng kule bondeni (Afrika ya kusini).

Aliyekuwa wa kwanza kubeza ni Ndugu Membe huku akiaminisha umma kuwa Prof.Kabudi hatafanikiwa, akishauri kuwa njia pekee ni kumuita mkulima Stein kwenye meza na ''kumlipa chake. Ajizi nyumba ya njaa naye Tundu Lissu na Fatuma Karume wakauvagaa mkenge huku akiwa hawana uzoefu wowote na mashauri katika korti ya kimataifa, walijaribu kuwaapooza wafuasi wao ambao walikuwa wenye hasira nyingi baada ya kushauriwa vibaya kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Bila kuchelewa, wafuasi wa CHADEMA na wanasiasa hao wakaivagaa mitandao huku wakionesha dharau kwa Prof.Kabudi na Watanzania, wakisema Mkulima Stein ni ''kiboko'' wakiowanukuu Lissu,Fatuma na Membe.

Wanasheria wetu wazalendo walinyamaza kimya huku wakiandaa hoja za kumshinda ''Mkulima Stein'' kortini. Kwa hoja zilizotolewa kortini hatimaye siku mbili zilizopita Mahakama ya Canada iliipa Tanzania ushindi kwa mara nyingine tena huku ikiweka ''precedence'' kwa siku zijazo.

Nimalize tu kwa kusema, Hongereni wananchi wazalendo wa Tanzania, Mmeshinda tena!
Bora tumelipa deni kuondokana na hii aibu kubwa.
 
Ndege inakuja,weka namba ya simu nikutumie nauli uende Mwanza kuishuhudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
FB_IMG_1576248668292.jpg

Kiboko yao
 
Ni tradion yetu kuwashangilia wenye pesa hata kama wenyewe hawaambulii kitu chochote kwenye utajiri huo wa hao watu wanao washabikiwa.

Huu utaratibu wa kuwashangilia na kuwasifia watu wenye hela ulianza zamani toka enzi ya Mwalim Nyerere. Nakumbuka Magazeti ya SUN na Uhuru wakati ule walichapisha habari za mbaharia aliyefanikiwa kurudi Tanzania na hela kem kem, gari, Computer, System na vitu vingine alivyo rudi navyo.

Gari lake na computer yake aliyo rudi nayo ilibandikwa na kuonyeshwa kwenye hayo magazeti. Ilikuwa gumzo kubwa sana mjini kuhusu baharia huyu. Sijui hali ilivyokuwa mikoani lakini Bongo ilikuwa the Story.

Sent using Jamii Forums mobile app

Niko hapa nakufuatilia mzee baba, ukipotosha tu huna bahati.
 
Kuomba radhi hawawezi sana sana wanasubiri suala jingine lijitokeze waje waanzishe uzi wa kejeli na vijembe.

Hao ni wazee wa kuhamisha magoli wazee wa matukio, wakisahau kuwa muda unakwenda hausubiri mtu.
 
Back
Top Bottom