nikuulize.kitu jomba..hivi unajua gharama zote hizo na nyingine ambazo hukutaja ninalipwa na nani..nijibu hili ili niendelee kukufungua macho sasaNdege ilipokamatwa South Africa walitumia pesa nyingi kusafirisha umati kwenda kutoa Rushwa na gharama za kulipana posha malazi chakula, kodi ya maegesho ya Ndege gharama za rubani na wahudumu wao kukaa South Africa kusubiria Ndege iachiwe, na sasa pia wamewatuma watu canada wanalipwa gharama kubwa na mengineyo, usikute wewe ni mnufaika wa sakata hili ndiyo maana unafagilia dhuluma hiyo upate kuendelea kujinufaisha zaidi.