Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Document inayoruhusu ndege kuachiwa ndo inaweza elezea vizuri sababu gani ndege imeachiwa...unaweza eleza sababu ya ndege zetu kuachiwa kila zikikamatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Document inayoruhusu ndege kuachiwa ndo inaweza elezea vizuri sababu gani ndege imeachiwa...unaweza eleza sababu ya ndege zetu kuachiwa kila zikikamatwa
sasa kwanini mnasema hapa oooh wamelipw tayari sijui nini...hayo yametoka wapiDocument inayoruhusu ndege kuachiwa ndo inaweza elezea vizuri sababu gani ndege imeachiwa...
uni tag na mimiakijibu hii unitag
Tumelipa, tumesamehewa au tumeshinda kesi? Naomba majibu
Wapi niliposema wamelipwa? Mimi nilichokua nakisema ni kwamba anaesifiwa kwamba yupo vizuri katika mahakama za kimataifa hana uzoefu wowote ule...upo hapo mkuu?sasa kwanini mnasema hapa oooh wamelipw tayari sijui nini...hayo yametoka wapi
Million 2 tu
Wizi... kwa huyu, tuna 1.5T hazijulikani ziliko...kwa hiyo unataka kutuambia kodi zinalipwa kwa asilimia 100...kulingana na njia unayoisema...mbona hatukuwa na madege yote hayo na ma train na mameli na madaraja na mabarabara na elimu bure na madawa mengi hospitali na ma stiglers gorge na mengine mengi yataje tu
Hujui kumbe..?Mkapa kasemaje
Uwezo wa kufikiri umefika mwisho utahira umeamka acha kujitia Aibu na kuitia Aibu CCM maana imekuamini uitetee mitandaoni umeanza ufala badala ya kuitetea vilivyo, kipimo cha ujinga hapa Jf ni mwana jf kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, Mbona ID yako ya kishamba hakuna mtu anahangaika nayo? Huku cha msingi ni hoja acha umbumbu wa kishamba toka kolomije jikite kwenye hoja pekeendio maana ukaitwa minyoo...shida tupu..
Wanatumia Rushwa na gharama zingine nyingi, wewe ni mbumbumbu kilaza hakuna haja ya kukuelezea kirefu kwani ni vigumu uelewe vizuri.unaweza eleza sababu ya ndege zetu kuachiwa kila zikikamatwa
sasa kwanini mnasema hapa oooh wamelipw tayari sijui nini...hayo yametoka wapi
kwa hiyo unataka kutuambia kodi zinalipwa kwa asilimia 100...kulingana na njia unayoisema...mbona hatukuwa na madege yote hayo na ma train na mameli na madaraja na mabarabara na elimu bure na madawa mengi hospitali na ma stiglers gorge na mengine mengi yataje tu
tofautisha matakwa ya kisheria na uhalisia wa kulipa kodi jomba...ingekuwa kama unavyosema saiz tungekuwa mbali mno...fikiri tena jomba then mwaga upupu wako
Leteni hati ya hukumu na cost za kesi acheni porojo.
Hati za hukumu za south africa na za canada ziko wapi? kwanini iwe siri wakati ni pesa za walipa kodi?
Mkulima kalipa garama za kesi? za kulala hotel za nyota 5 ujumbe wa kabudi South Na Canada?
Watanzania sio wajinga kiivyo.
Elimu bure hakuna madawati, Elimu bure mwaka wa nne walimu hawana nyongeza ya mishahara ndiyo maana shule za kata zote zinakuwa za mwisho kwenye mitihani, ununuzi wa Ndege na miradi yote kuna 10% za wajanja wachache ufisadi upo kila kona CCM ni ile ile hakuna unafuu
unaweza eleza sababu ya ndege zetu kuachiwa kila zikikamatwa
Mkuu una huo ushahidi wa 10%? Tuwekee na sisi tuuone?
Mkuu ushahidi mojawapo ni kuachiwa Ndege, kitendo cha Ndege kuachiwa kimya kimya bila mbwembwe ina maana wamelipa kimya kimya lakini wakamuomba Mzungu apige kimya ili Kabudi aje huko mwanza kujimwambafy apate kuficha Aibu yao.
Amini usiamini lakini watanzania wa sasa hawaishi kwa kuiamini CCM tena wewe ukiona majungu bakia hivyo hivyo lakini wengine wanaamini vinginevyo ni tofauti na zamani sasa watanzania wameamka hawakaririshwi Akili za wana CCM za zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa.Majungu hayo.