Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Bingwa wa kuchukua wake za watu,,,Mauro icard.
Heshima ni kitu cha msingi sana,yeye m'ke ya mtu na pesa ya mwanaume anachukua tu kuonesha ukidume wake wa mbegu ***** walahi huku niliko huyo mvaa kata kei,bishoo na mvaa mitepesho kichwa chake ingekuwa halali yetu.
Hebu imagine unachuka mke wa rafiki yako kabisa, hakyanani unyama unyama aliyeua auwawe.
Mimi Alisina ningemfunza adabu bwana mdogo huyo.
Heshima ni kitu cha msingi sana,yeye m'ke ya mtu na pesa ya mwanaume anachukua tu kuonesha ukidume wake wa mbegu ***** walahi huku niliko huyo mvaa kata kei,bishoo na mvaa mitepesho kichwa chake ingekuwa halali yetu.
Hebu imagine unachuka mke wa rafiki yako kabisa, hakyanani unyama unyama aliyeua auwawe.
Mimi Alisina ningemfunza adabu bwana mdogo huyo.