Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilifikajee sasa!? Maana Mimi najua lazima uwe na sanduku la posta ambalo mzigo wako utafikia,,hebu tupe maujanja inawezekana sisi tunazunguka sana aisee
Inakufikiaje bila postaHii naomba kukupinga, nimenunua vitu kutoka Alibaba kwa kutumia Mastercard ya M-pesa bila kuwa na sanduku la posta Wala kujaza form yoyote bank. Hii saa nilinunua Alibaba
View attachment 2048909
Posta wapo na Agents wapoInakufikiaje bila posta
Nasafirishaje Kupitia Agents Mkuu Tafadhal Maan Weng Hatuna Sanduku La PostaPosta wapo na Agents wapo
Naomba maelekezo hapo kdgPosta wapo na Agents wapo
Nami nasubrNaomba maelekezo hapo kdg
Hii naomba kukupinga, nimenunua vitu kutoka Alibaba kwa kutumia Mastercard ya M-pesa bila kuwa na sanduku la posta Wala kujaza form yoyote bank. Hii saa nilinunua Alibaba