Sasa watafanya wachina na watu kutoka nje waje wafanye biashara ya kupika Biriani Kwa uzembe tu wa kutapeli vitu vidogoBongo kwenye suala la uaminifu ni 0 kabisaa na kwa kweli hii changamoto kwa izi kizazi cha sasa ni kubwaaa mnoo,
na hii inatokana na malezi mabovu spati picha kwa iki kizazi cha single mother hali itakuaje nahisi itakua ni mara 10 zaid ya hii tuliyonayo sasa 😃
Dah hatari sanaAisee bongo uaminifu ni zero kabisa niliwahi kuagiza mbuzi mahali kiasi nilicholetewa hakiendani kabisa na nilichoagiza alafu nilikua na wageni, sema mwenye kiki namjua nikampigia simu nikagoma kabisa kulipa wala kutumia kile chakula, ikabidi hamsa awashe gari aje, kuja kufika alishangaa sana maana anadai alinifungia chakula mwenyewe, kumbe boda alifungua chakula sijui ndo alikula portion kadhaa za mbuzi au alipeleka kwake😀😀😀, jamaa nusu amuue
Imagine kiusalama.Aisee bongo uaminifu ni zero kabisa niliwahi kuagiza mbuzi mahali kiasi nilicholetewa hakiendani kabisa na nilichoagiza alafu nilikua na wageni, sema mwenye kiki namjua nikampigia simu nikagoma kabisa kulipa wala kutumia kile chakula, ikabidi hamsa awashe gari aje, kuja kufika alishangaa sana maana anadai alinifungia chakula mwenyewe, kumbe boda alifungua chakula sijui ndo alikula portion kadhaa za mbuzi au alipeleka kwake😀😀😀, jamaa nusu amuue
walituma mhuni inapaswa wawe na watu wao.Aisee bongo uaminifu ni zero kabisa niliwahi kuagiza mbuzi mahali kiasi nilicholetewa hakiendani kabisa na nilichoagiza alafu nilikua na wageni, sema mwenye kiki namjua nikampigia simu nikagoma kabisa kulipa wala kutumia kile chakula, ikabidi hamsa awashe gari aje, kuja kufika alishangaa sana maana anadai alinifungia chakula mwenyewe, kumbe boda alifungua chakula sijui ndo alikula portion kadhaa za mbuzi au alipeleka kwake😀😀😀, jamaa nusu amuue
Tunaomba jina....Kuna restaurant haipo mbali na napoishi naagiza(ga) japo mara chache sio wasumbufu kabisa
Umeandika nini mkuu?Bongo kwenye suala la uaminifu ni 0 kabisaa na kwa kweli hii changamoto kwa izi kizazi cha sasa ni kubwaaa mnoo,
na hii inatokana na malezi mabovu spati picha kwa iki kizazi cha single mother hali itakuaje nahisi itakua ni mara 10 zaid ya hii tuliyonayo sasa 😃
We nenda Kwa mama KP😁sijui unamkumbuka?Tunaomba jina....
Hahahaha alikuwa kipindi cha mwishoni tukiwa tunasubiri kuuaWe nenda Kwa mama KP😁sijui unamkumbuka?
Alikuja mwingine nae hakudumu sanaHahahaha alikuwa kipindi cha mwishoni tukiwa tunasubiri kuua
Alikuwa ananikubali yule binti,
Afu ndo akaja kutapeliwa na vibaka baada ya kutoka club,
Ndo canteen ikafa sijui kwenu iliendelea?
Aseeh mzee wake , KP mwenyewe ndo aliweza kumasta biashara ile,Alikuja mwingine nae hakudumu sana
Mi nafikaga sana kule mwaka huu nlienda mara mbiliAseeh mzee wake , KP mwenyewe ndo aliweza kumasta biashara ile,
Ila yule dada bado alikuwa mdogo kutongozwa ni sekunde na alikuwa anacheka seven hrs msafi hashiki hata ngano daah 😂......
Naamis sana kule hata certificate sjui nafata lini