Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Aaah kumbe.... Me nilimwambia shuma anitumie scan copy ko hata naweza nisifike huko Leo wala kesho....Mi nafikaga sana kule mwaka huu nlienda mara mbili
Huwa unaagiza wapi? Mimi huwa natumia duka direct au piki na ninachokipata ni kile nikichoagiza. Ila siwezi kusema sana maana mostly huwa naagiza orchid, patio,chinese dragon,epi'dor na kfc dependa na mood ya siku, kuna baadhi ya restaurants ukiagiza unaenjoy vinalingana na gharama na kile unachotegemea kukipataKuna wajasiriamali Wengi Sana siku online wanatangaza kupika vyakula mbali mbali na kutangaza unaweza agiza chakula online ...kinakufikia...
Nna watu wengi waliowahi agiza vyakula kutoka restaurants mbalimbali wanakutana na changamoto nyingi Sana...
Kwanza ..kinachotangazwa na kinachofika kunakuwa na tofauti Sana ya quality na quantity...
Watu wengi wanaona Bora kwenda sehemu husika ule uondoke....
Nimeona ni share hili labda kuna wenye experience tofauti....
Inaonekana wabongo Wengi uaminifu wa huduma Bora ni mpaka mteja amuone amekuja...kuliko online...
Wengine uzoefu wenu ikoje?
Umewahi agiza chochote...iwe Biriani au chochote ukajutia?
Mkuu lakini sisi wote tumelelewa kwenye maadili ya dini mbili nzuri ya kikristo na kiislamu inakuwaje hatuwi waaminifu???Aisee bongo uaminifu ni zero kabisa niliwahi kuagiza mbuzi mahali kiasi nilicholetewa hakiendani kabisa na nilichoagiza alafu nilikua na wageni, sema mwenye kiki namjua nikampigia simu nikagoma kabisa kulipa wala kutumia kile chakula, ikabidi jamaa awashe gari aje, kuja kufika alishangaa sana maana anadai alinifungia chakula mwenyewe, kumbe boda alifungua chakula sijui ndo alikula portion kadhaa za mbuzi au alipeleka kwakeπππ, jamaa nusu amuue
Wamebadilishwa badilishwa sana saiviAaah kumbe.... Me nilimwambia shuma anitumie scan copy ko hata naweza nisifike huko Leo wala kesho....
Kina chura wapo, magreth alikuwa pisi ya kwenda
Nimejumuisha single mother coz walio wengi hawana malezi mazuri kwa watoto wao na kukosa malezi bora ndo kumepelekea watu kukosa uwaminifu na tabia za hovyo ktk jamii kipi nimekosea apo ?Umeandika nini mkuu?
Hapa jamaa anataka kufahamu kama watu wengine wanaonunua/agiza chakula kupitia apps au page za hao wafanyabiashara ya chakula nao wanapitia changamoto alizozitaja.
Wewe unaanza kulaumu single mother?
Hiyo mbona haina mantiki? Umelewa?
Aseeh basi vizuri πWamebadilishwa badilishwa sana saivi
Location pia ...unakaa wapi? Kwa Dar wanaokaa upanga,posta kinondoni Wana nafuu...Huwa unaagiza wapi? Mimi huwa natumia duka direct au piki na ninachokipata ni kile nikichoagiza. Ila siwezi kusema sana maana mostly huwa naagiza orchid, patio,chinese dragon,epi'dor na kfc dependa na mood ya siku, kuna baadhi ya restaurants ukiagiza unaenjoy vinalingana na gharama na kile unachotegemea kukipata
Huwa naagiza nikiwa ofisini, nikiwa nyumbani napendelea kupika kama ni cha nje huwa nakifata huko huko unless nikitaka kuwaagizia watoto KFC au marry brown huwa wanafanya delivery.Location pia ...unakaa wapi? Kwa Dar wanaokaa upanga,posta kinondoni Wana nafuu...
Ukikaa Kimara, Kigamboni na kongowe hizo restaurants zina deliver?