Big Guy
Member
- Oct 17, 2018
- 92
- 102
Mkuu ni nyekundu sio kijani.Hiyo ya kijani ni bei mpaka destination port mf. Dar. Na ndo utakayolipa ili gari lifike bandarini. Likishafika ndiyo TRA wanakuja kuchukua chao na wao sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni nyekundu sio kijani.Hiyo ya kijani ni bei mpaka destination port mf. Dar. Na ndo utakayolipa ili gari lifike bandarini. Likishafika ndiyo TRA wanakuja kuchukua chao na wao sasa.
Huwezi kutoa gari bila agent mkuu agent fee inakuhusu, hao BEFORWARD wenyenyewe wanatumia agent kuwatolea gari zao.Unatoa hiyo ilikuwa zamani
Huwezi kutoa gari bila agent mkuu agent fee inakuhusu, hao BEFORWARD wenyenyewe wanatumia agent kuwatolea gari zao.
habari naomba kujua gharama za kutolea gari bandarini zinaweza kuwa sh ngapi kwa gari ndogoHuwezi kutoa gari bila agent mkuu agent fee inakuhusu, hao BEFORWARD wenyenyewe wanatumia agent kuwatolea gari zao.
CIF ndio bei unayolipia ya gari kuileta bandari kabla haujalipia kodi.View attachment 1250252
Naomba kuuliza hapa kidogo mkuu.. Bei halisi ni hio yenye rangi nyekundu au kijani?
Wanachukua ya kwenye Invoice. YCIF ya kwenye invoice ya gari ikiwa kubwa kuliko CIF iliyotumika kwenye calculator ya TRA , TRA atatumia ipi kupata kodi yake????
Befoward kwa sasa hv gharama zao za kutoa gari kama wakala ni kiasi gani ukiachana na za TPA na TRA?Uko sahihi, ukishalipia kodi zote na usajili. Beforward watamalizana na TPA na kuitoa gari yako.
Watakupa invoice ukalipe jumla ya gharama zao na zile za TPA.
Hapo utakabidhiwa gari yako ikiwa na namba zake kila kitu.
Wakala alikutoza kiasi gani?Nashukuru Mungu mwaka jana nimeweza kuagiza gari mwenyewe BE FORWARD kwa kutumia laptop yangu nikaenda kulichukua mwenyewe, changamoto niliyoipata ni pale Be Forward unapochukulia gari huwa kuna madalali wa ufundi wengi kila mtu anataka akufanyie service ila kama unafundi wako basi unaondoka nalo, mimi nilikuta battery imeisha na tairi zote zimeisha so ikabidi nizinunue hapo hapo kwenye yale maduka.
Sikuagiza kwa kutumia wakala kila kitu walifanya beforward mim ilikuwa kwenda kuchukuaWakala alikutoza kiasi gani?siko
Ok,walikuchaji kiasi gani kama gharama yao ya uwakala mkuu?Sikuagiza kwa kutumia wakala kila kitu walifanya beforward mim ilikuwa kwenda kuchukua
Hawakuweka gharama za uwakala hata kama ilikuwepo ni kidogo sana ukicompare na mwakala wengineOk,walikuchaji kiasi gani kama gharama yao ya uwakala mkuu?
Kwa hiyo ulivyowalipa CIF yao pamoja na makorokocho mengine baada ya gari kufika bandarini tu wakakukabidhi gari yako?Hawakuweka gharama za uwakala hata kama ilikuwepo ni kidogo sana ukicompare na mwakala wengine
Ni kusoma ndo tatizo au ??kwenye rangi ya kijanj juu kabisa wameandikaje? Na pekundu wameandikaje?? Huoni wamekuonesha bei ya gari na mwsho bei yakusafirisha hadi darView attachment 1250252
Naomba kuuliza hapa kidogo mkuu.. Bei halisi ni hio yenye rangi nyekundu au kijani?
Hio ni bei ya gari peke yakeHiyo ya kijani ni bei mpaka destination port mf. Dar. Na ndo utakayolipa ili gari lifike bandarini. Likishafika ndiyo TRA wanakuja kuchukua chao na wao sasa.
Kuna kulipia kodi ya gari unafanyia bank baada ya kupata hizo documents huwa zinakuja kabla ya gari then kama kutakuwa za bandari utapewa document za kwenda kulipia bank then baada ya hapo unaenda beforward posta kuchukua kadi ya gar na number ya gar baada ya hapo unaenda kwenye yard yao kuchukua gari yako na kuondoka nayoKwa hiyo ulivyowalipa CIF yao pamoja na makorokocho mengine baada ya gari kufika bandarini tu wakakukabidhi gari yako?
Pamoja sana MkuuKuna kulipia kodi ya gari unafanyia bank baada ya kupata hizo documents huwa zinakuja kabla ya gari then kama kutakuwa za bandari utapewa document za kwenda kulipia bank then baada ya hapo unaenda beforward posta kuchukua kadi ya gar na number ya gar baada ya hapo unaenda kwenye yard yao kuchukua gari yako na kuondoka nayo