Kuagiza gari nje ya nchi ujipange (2024/25 FY)

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Wale wote wanataka kuagiza magari nje ya nchi mwaka ujao wa fedha wajipange maana Dr wa Uchumi (PhD) First class ameongeza tozo ya kuchangia ujenzi/maendeleo ya reli (1.5% mpaka 2.0% ya CIF) katika kodi utakazolipia.

2. Usiseme hukuambiwa, watu wanataka kununua majumba Dubai na kuongeza Yutong (Dar-Kiomboi). Esta-blish Express!
 
Hivi mpaka leo bado kuna watu wanaagiza magari asia na ulaya...bull shit!

South hamuioni au nani kawaroga, ukitaka gari classic used au zero km unashuka south hapo chap unaingia show room unavuta chuma lako unawapa malekezo ya destination yako wanakukodia hadi dereva wa kusafirisha gari lako mpaka ulipo ndio system inavyoenda siku hizi.

Huko bandarini kumejaa madalali mpaka chooni isitoshe bandari yenyewe ishauzwa wewe ulifikiri vitu vitakua rahisi, hiyo tayari ni empire ya mwarabu kwa sasa.
 
Huwezi kupandisha uchumi Kwa kutegemea Kodi za magari huu ni uwendawazimu Tu...Jana nilienda pale SBT ofisini kwao wakawa wanasema kuanzia mwezi July bei ya usafirishaji kwenye meli itaongezeka kidogo, hiii ni Japan wenyewe kuna uhaba wa meli
 
Mbona hata huko kodi unalipa mzee, au haujui kuwa wazee wa mapato wapo Boda hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…