Kuagiza gari nje ya nchi ujipange (2024/25 FY)

Kuagiza gari nje ya nchi ujipange (2024/25 FY)

Ingekua hiyo kodi inaenda kweli yote kwenye maendeleo sio mbaya ila watu wanazipiga na kununua ma yutong wanaishi maisha ya kifahari huku sisi tunakufa na shida
Tatizo ni hilo tu watu hatukatai kulipa kodi ila unalipa mwenzako anachukua annunua apartment dubai hayo ndio yanayoumiza na kuvunja moyo
 
Asante sana ndugu yangu. Je afisa wa forodha anaweza kuzibadilisha kwa vile CIF yangu halisi kwenye bill of lading itakuwa ni $33,000+, lakini table uliyonikokotolea hapo juu inatumia CIF ya $19,000+ tu. Kuna shida hapo?
Thubutu yako
 
Thubutu yako
Sijajua jibu lako lina maana gani; kuna watu wengine mnadakaia mambo kijinga sana. Sasa "THUBUTU YAKO" maana yake ni nini.

Mimi nilimwuliza byakunu anifanyie makabdirio ya gari hii, ambayo CIF yake ni $33,465


1719526150468.png

Yeye akanieletea mrejesho huu ambao umetumia CIF US$19,627

1719526343901.png



Sasa nilipomwuliza iwapo gari ikishafika afisa wa customs anaweza kuja na namba inayozidi hapo kutokana na kuwa CIF value ya kjwenye bill of lading itakuwa ni juu ya hiyo namba iliyotumika kwenye calculations za makadirio, wewe unakuja na jibu la kijinga tu -eit "THUBUTU YAKO". Kama ulikuwa hujui swali lilolulizwa usijaribu kulijibu kwani utajionyesha ujinga wako.
 
Sijajua jibu lako lina maana gani; kuna watu wengine mnadakaia mambo kijinga sana. Sasa "THUBUTU YAKO" maana yake ni nini.

Mimi nilimwuliza byakunu anifanyie makabdirio ya gari hii, ambayo CIF yake ni $33,465


View attachment 3027874
Yeye akanieletea mrejesho huu ambao umetumia CIF US$19,627

View attachment 3027876


Sasa nilipomuwliza iwapo gari ikishafika afisa wa customs anaweza kuja na nanamba inayozidi hapo kutokana na kuwa CIF value ya kjwenye bill of lding itakuwa ni juu ya hiyo namba iliyotumika kwenye calculations za makadiriao, wewe unakuja na jibu la kijinga tu -eit "THUBUTU YAKO". Kama ulikuwa hujui swali lilolulizwa usijaribu kulijibu kwani utajionyesha ujinga wako.
Mkuu hapo usiwaze sana. Ukweli ni kwamba watu wa ushuru watakokotoa kodi upya kulingana na CIF ya gari na kodi itapanda. Ila kuna namna ukiongea na wanaokuuzia gari, mambo hukaa sawa.
 
Mkuu hapo usiwaze sana. Ukweli ni kwamba watu wa ushuru watakokotoa kodi upya kulingana na CIF ya gari na kodi itapanda. Ila kuna namna ukiongea na wanaokuuzia gari, mambo hukaa sawa.
TRA Wana mkeka wa Bei tayari. Hawategemei Bei iliyopo kwenye document zako. Gari hata kama ulipewa Zawadi (O CIF) unakutana na Kodi ya kuchangia ununuzi wa apartment)
 
TRA Wana mkeka wa Bei tayari. Hawategemei Bei iliyopo kwenye document zako. Gari hata kama ulipewa Zawadi (O CIF) unakutana na Kodi ya kuchangia ununuzi wa apartment)
Una huo uzoefu? Sasa fanya hivyo uone kitakachokukuta. Tuliopitia hayo tunaongea kulingana na uzoefu. Nunua gari ambayo CIF yake inaizidi ya TRA kisha subiri assessment ya TRA itasemaje. Utarudi kutoa matusi hapa.
 
Una huo uzoefu? Sasa fanya hivyo uone kitakachokukuta. Tuliopitia hayo tunaongea kulingana na uzoefu. Nunua gari ambayo CIF yake inaizidi ya TRA kisha subiri assessment ya TRA itasemaje. Utarudi kutoa matusi hapa.
Bei za kwenye mkeka wa TRA ndio sahihi hawategemei Bei ya kwenye document zako
 
Waziri anakoipeleka Nchi anajua mwenyewe kila kukicha kodi inaongezeka kwenye magari badala ya kupunguza ili Wananchi watumie vyuma vizuri kama wao yeye anataka yeye tu ndio atumie gari za maana ila Wananchi wajibane kwenye bajaji na boda boda wakati gari nje huku bei ya kuokota tu..ukitaka kununua gari ya kuja Tanzania unaanza kuangalia TRA wanasemaje wakati Zambia wana kodi rafiki sana na wanatumia gari nzuri kuliko wenye Bandari...
Roho ya umasikini.

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapo usiwaze sana. Ukweli ni kwamba watu wa ushuru watakokotoa kodi upya kulingana na CIF ya gari na kodi itapanda. Ila kuna namna ukiongea na wanaokuuzia gari, mambo hukaa sawa.

TRA Wana mkeka wa Bei tayari. Hawategemei Bei iliyopo kwenye document zako. Gari hata kama ulipewa Zawadi (O CIF) unakutana na Kodi ya kuchangia ununuzi wa apartment)

Una huo uzoefu? Sasa fanya hivyo uone kitakachokukuta. Tuliopitia hayo tunaongea kulingana na uzoefu. Nunua gari ambayo CIF yake inaizidi ya TRA kisha subiri assessment ya TRA itasemaje. Utarudi kutoa matusi hapa.


Bei za kwenye mkeka wa TRA ndio sahihi hawategemei Bei ya kwenye document zako


Ndugu byakunu ; hebu nisaidie kuondoa utata kati ya madai ya Mtu-Pori na maelekezo ya Michewen. Nani kati yao ni sahihi?
 
Back
Top Bottom