nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Trust meIngekua hiyo kodi inaenda kweli yote kwenye maendeleo sio mbaya ila watu wanazipiga na kununua ma yutong wanaishi maisha ya kifahari huku sisi tunakufa na shida
siku zao zimekaribia sana........