Kuagiza gari nje ya nchi ujipange (2024/25 FY)

Kuagiza gari nje ya nchi ujipange (2024/25 FY)

Waziri anakoipeleka Nchi anajua mwenyewe kila kukicha kodi inaongezeka kwenye magari badala ya kupunguza ili Wananchi watumie vyuma vizuri kama wao yeye anataka yeye tu ndio atumie gari za maana ila Wananchi wajibane kwenye bajaji na boda boda wakati gari nje huku bei ya kuokota tu..ukitaka kununua gari ya kuja Tanzania unaanza kuangalia TRA wanasemaje wakati Zambia wana kodi rafiki sana na wanatumia gari nzuri kuliko wenye Bandari...
 
Waeleze kwa mifano kuwa ile gari tunayo idharau sana watanzania, MWIGULU kaifikisha hapa. Na sasa hivi kuagiza mwenyewe lazima zikutoke 18M ukiogopa ukaenda Yard nenda na 20M
View attachment 3021409
Mzee wangu,

Hebu nisaidie mahesabu ya hili pickup ambalo ninataka kupelekeka kijijini. Nisije nikapoteza dola zangu $33,000 halafu kumbe kodi ya kukombolea ni kubwa sana ikanishinda

1719445003123.png
 
Hivi mpaka leo bado kuna watu wanaagiza magari asia na ulaya...bull shit!

South hamuioni au nani kawaroga, ukitaka gari classic used au zero km unashuka south hapo chap unaingia show room unavuta chuma lako unawapa malekezo ya destination yako wanakukodia hadi dereva wa kusafirisha gari lako mpaka ulipo ndio system inavyoenda siku hizi.

Huko bandarini kumejaa madalali mpaka chooni isitoshe bandari yenyewe ishauzwa wewe ulifikiri vitu vitakua rahisi, hiyo tayari ni empire ya mwarabu kwa sasa.
Ukiwa unalipa kodi za TRA huku ili liweze kusajiliwa, hakuna hiyo Railway Development Levy? I'm asking for a friend.
 
Back
Top Bottom