Trust meIngekua hiyo kodi inaenda kweli yote kwenye maendeleo sio mbaya ila watu wanazipiga na kununua ma yutong wanaishi maisha ya kifahari huku sisi tunakufa na shida
Nani huyo?Huyu mtu ni kilaza .
Wakwepe wengine waumizwe wengine.Watanzania tunakwepa sana kodi hivyo mwanya ndiyo huo
Mzee wangu,Waeleze kwa mifano kuwa ile gari tunayo idharau sana watanzania, MWIGULU kaifikisha hapa. Na sasa hivi kuagiza mwenyewe lazima zikutoke 18M ukiogopa ukaenda Yard nenda na 20M
View attachment 3021409
hapo si unazungumzia 70m+Mzee wangu,
Hebu nisaidie mahesabu ya hili pickup ambalo ninataka kupelekeka kijijini. Nisije nikapoteza dola zangu $33,000 halafu kumbe kodi ya kukombolea ni kubwa sana ikanishinda
View attachment 3027141
yaani hiyo 70m itakuwa ni kodi tu! Mbona unanitisha?Haponsi unazungumzia 70m+
Kodi ya kina Bettinayaani hiyo 70m itakuwa ni kodi tu! Mbona unanitisha?
Karibu na bei ya gari jingine. Yaani ni sawa na kunua magari mawili; moja unampa Mwigulu na wewe unajwekea moja.Kodi ya kina Bettina
Mzee wangu,
Hebu nisaidie mahesabu ya hili pickup ambalo ninataka kupelekeka kijijini. Nisije nikapoteza dola zangu $33,000 halafu kumbe kodi ya kukombolea ni kubwa sana ikanishinda
View attachment 3027141
Ukiwa unalipa kodi za TRA huku ili liweze kusajiliwa, hakuna hiyo Railway Development Levy? I'm asking for a friend.Hivi mpaka leo bado kuna watu wanaagiza magari asia na ulaya...bull shit!
South hamuioni au nani kawaroga, ukitaka gari classic used au zero km unashuka south hapo chap unaingia show room unavuta chuma lako unawapa malekezo ya destination yako wanakukodia hadi dereva wa kusafirisha gari lako mpaka ulipo ndio system inavyoenda siku hizi.
Huko bandarini kumejaa madalali mpaka chooni isitoshe bandari yenyewe ishauzwa wewe ulifikiri vitu vitakua rahisi, hiyo tayari ni empire ya mwarabu kwa sasa.
Asante sana ndugu yangu. Je afisa wa forodha anaweza kuzibadilisha kwa vile CIF yangu halisi kwenye bill of lading itakuwa ni $33,000+, lakini table uliyonikokotolea hapo juu inatumia CIF ya $19,000+ tu. Kuna shida hapo?View attachment 3027371
JIANDAE NA 26 MILIONI YA MBELE YAKE INA 28M CHEZA HUMO