Kuagiza mzigo kutoka Canada kwa njia ya posta

Kuagiza mzigo kutoka Canada kwa njia ya posta

King_Villa

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
575
Reaction score
380
Habari za muda wakuu.

Hapa nimepata fursa nzuri kidogo ambayo natarajia kuifanya lakini sitaki kukurupuka.

iko hivi , kuna rafiki yangu yuko canada nimemwomba anitaftie computer for parts(spare) kwa bei ya chini kwasababu kule vitu ni rahisi kidogo na akishazipata azipack halafu tuangalie namna tunaweza kuzifikisha Tanzania.
Jamaa amenisaidia kwa muda kidogo na hiyo kazi kwa upande wa canada imekamilika 89%. Na jamaa yuko huko kikazi bado hajawa mzoefu wa mambo ya clearing and forwarding. sasa nataka nijue gharama nitakazotumia kusafirisha na kodi ya TRA kwa sababu kila nikipiga namba za TRA hazipokelewi na mimi siwezi kwenda phisically kwasababu niko mbali kidogo na ofisi zao.
Na kama kuna mtu alishafanya hivyo aniambie changamoto nini na aliwezaje kufanikiwa kwa kutumia njia rahisi na zenye gharama ndogo hopefull jamiiforums tunawatu waliojaribu maisha kwa namna nyingi .

ni hilo tu wakuu muwe na siku njema.
 
Canada wapi vitu bei rahisi?
Kwa upande wangu ilikuwa rahisi maana nilikuwa nanunua computer with faults (just for parts) nyingi ni second hand na mara nyingi nilikuwa natumia facebook market place kukutana na wauzaji wa huko na wauzaji walikuwa wananiuzia kwa bei ambayo ni affordable. mfano laptop yenye shida ya motherboard nilikuwa nanunua mpaka $20 .kwangu mimi ni rahisi ukilinganisha na faida ntakayopata kama nikiuza spare parts.
 
Kwanini msitumie makampuni ya usafirishaji Kama DHL ikawa rahisi
 
Habari za muda wakuu.

Hapa nimepata fursa nzuri kidogo ambayo natarajia kuifanya lakini sitaki kukurupuka.

iko hivi , kuna rafiki yangu yuko canada nimemwomba anitaftie computer for parts(spare) kwa bei ya chini kwasababu kule vitu ni rahisi kidogo na akishazipata azipack halafu tuangalie namna tunaweza kuzifikisha Tanzania.
Jamaa amenisaidia kwa muda kidogo na hiyo kazi kwa upande wa canada imekamilika 89%. Na jamaa yuko huko kikazi bado hajawa mzoefu wa mambo ya clearing and forwarding. sasa nataka nijue gharama nitakazotumia kusafirisha na kodi ya TRA kwa sababu kila nikipiga namba za TRA hazipokelewi na mimi siwezi kwenda phisically kwasababu niko mbali kidogo na ofisi zao.
Na kama kuna mtu alishafanya hivyo aniambie changamoto nini na aliwezaje kufanikiwa kwa kutumia njia rahisi na zenye gharama ndogo hopefull jamiiforums tunawatu waliojaribu maisha kwa namna nyingi .

ni hilo tu wakuu muwe na siku njema.
sorry nje ya mada but unauza spare za computer?
 
Back
Top Bottom