FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nimeshtuka sana leo baada ya kuona toothpick nilizonunua kwa mangi eti zime-andikwa made in China..!! sasa magari tunaagiza.., mafuta tunaagiza.., hata gesi ambayo tunayo tunaagiza.., sasa ndio hadi vijiti vya kuchokonolea meno tu tuagize....???!!!!!, jamani jamani..., hivi alieturoga amefariki kwani..???!