Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,579
mbona kuna kiwanda cha toothpick hapa bongo! btw, hata us kuna viwembe imported, ina maana wao wanashindwa kutengeneza viwembe vya kunyolea ndevu? hayo ndiyo mambo ya soko huria! hizi nazo ni fursa, kiwanda kidogo cha kutengeza toothpicks ni around milioni kumi, fursa hizo!
Magogo yako kwenye list ya "mali asili" upatikanaji wake sasa