Kuahirisha game ya Al Ahly Vs Belouizdad kuna namna?

Kuahirisha game ya Al Ahly Vs Belouizdad kuna namna?

Kwani ujaona kacheza na timu ya Brazil Jana, Fluminese
Sikujua kwakweli. Nashukuru umenijibu kistaarabu sana. Ndio maana ukawa Injinia. Mliosoma Science , Diplomasia na Ualimu huwa ni waungwana sana na huwa hamna mihemko.
Hebu angalia jamaa wa Political science , BA na MASCOM walivyonijibu na KUNITUKANA:
Petty Magambo, Bila bila, Sagai Galgano, Kubwa la Mazuzu, Snow Piecer, Dully jnr, Lukub
 
Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.

Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.

Nimewaza tu
Kunasababu siyo hujuma
 
Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.

Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.

Nimewaza tu
Wewe unafuatilia michezo kweli? Ahly kacheza huko klabu bingwa ya Dunia jana tu, ulitaka asafiri acheze kesho? Kuwa siriasi.
 
Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini. Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.
Nimewaza tu
Aliyeahirisha ni Hersi, rais wa vilabu vyote vya soka Afrika ikiwemo Simba. Aulizwe ana nia gani
 
Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.

Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.

Nimewaza tu
Wewe sio mwanasoka bali ni shabiki mkumbo wa Yanga.
 
Pole sana. Ujue na kuupenda mpira kwanza, siyo hivyo ulivyo... Ona hizo aibu sasa.
Hiyo aibu kwani tupo mkutanoni hapa mnaniona nikinyoosha mkono nikauliza hilo swali. Acha hizo wewe
 
Al Ahly timu kubwa ina michuano mingi..

Ratiba zao zinawabana.. maana wanacheza klabu bingwa dunia pia.

Ana mechi muhimu za klabu bingwa dunia akimaliza hizo ndio atakuja acheze mechi za klabu bingw africa.
 
Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini.

Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana.

Nimewaza tu
Shinda mechi zako Mzee..
 
Back
Top Bottom