Kuahirishwa kwa show za Ipupa: Muziki wake hauvutii japo ana kipaji

Kuahirishwa kwa show za Ipupa: Muziki wake hauvutii japo ana kipaji

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Nimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.

Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.

Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.

Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.

Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
 
Huwezi kusema JB mpiana anabebwa na kundi, JB mpiana ana kipaji kikubwa sana cha kuimba na kutunga mashairi.....achana na hao wauza sura akina Fally Ipupa na Koffi Olomide..
Kila mtu na mwanamuziki anaemkubali kutokana na vigezo vyake kwa Wakongo wengi mziki upo kwenye damu ni kujidanganya kuwakosoa...
 
Unasemaje? Koffi Olomide?
Umezaliwa jana wewe....

Kwa sasa Congo hakuna kama Koffi...Le mopao.
Koffi huwezi kumlinganisha na JB ama mwanamuziki yeyote kwa sasa Congo
Huwezi kusema JB mpiana anabebwa na kundi, JB mpiana ana kipaji kikubwa sana cha kuimba na kutunga mashairi.....achana na hao wauza sura akina Fally Ipupa na Koffi Olomide..
 
Huwezi kusema JB mpiana anabebwa na kundi, JB mpiana ana kipaji kikubwa sana cha kuimba na kutunga mashairi.....achana na hao wauza sura akina Fally Ipupa na Koffi Olomide..
Kwa kumtaja kofi alomode kama muuza sura nimekuvua nyota zote....
Papa mobimba ikiwekwa ukumbini hadi bibi yako atatingisha makalio yake
 
Unasemaje? Koffi Olomide?
Umezaliwa jana wewe....

Kwa sasa Congo hakuna kama Koffi...Le mopao.
Koffi huwezi kumlinganisha na JB ama mwanamuziki yeyote kwa sasa Congo
Yaani yale majigambo ndo unasema mwanamziki, hujamfuatilia vizuri Jibe mpiana anafunika ile mbaya...
 
Duh kweli fally ippupa anabahatisha ?

Huyo jamaa habahatushi sema wewe una muziki ambao umeuzoea masikion mwako na ndio maana unaona mziki wa fally huupend

Mtu mwenye tuzo za kila aina ambazo wasanii wengi wameshindwa kuzipata ngoma Kama associe Maria bakanja na nyingnezo kibao n ngoma Kali hata Bibi yako kule kaliua anatikisa tako hata

Mkali mwingine n huyu hapa FERE GOLA sikiliza ngoma Kama 100kilos 3eme Vita imana

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unasemaje? Koffi Olomide?
Umezaliwa jana wewe....

Kwa sasa Congo hakuna kama Koffi...Le mopao.
Koffi huwezi kumlinganisha na JB ama mwanamuziki yeyote kwa sasa Congo
Kofi olomide hajui kuimba tukubali ni ujanja ujanja,wimbo mzima ataongea maneno mawili matatu jb mupiana super vocalist,vocal yake hatar
 
Nnavompenda Fally Ipupa, hata sikuelewi unachomaanisha, mi nadhani show imeahirishwa sababu ya Covid mfano Mwanza kumekatazwa mikusanyiko na alipanga show huko pia, you see

Associe, french kiss, hustler is back, sweet life ,Nidja aisee jamaa anajua mixer miuno ya paka chongo dah ni hatari.

Nyoshi jana clouds alikua anazungumzia ujio wa fally Ipupa kwenye shows dah alinichekesha anavomsifia eti "Jamaa anapiga mbunooo balaa😂😂 viuno hivo😂
 
Nimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.

Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.

Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.

Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.

Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
Wazairwaa kwa ndumba na ngae wako vizuri, Fally Puppa alimeza tofali zima la zege ili awe na mvuto
 
Nimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.

Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.

Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.

Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.

Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
Msiwe mnakosoa kila kitu, ngoma za DRC tuachieni wenyewe wataalamu, mtu umeanza kumsikia Fally juzi tu alafu unakuja kusema hapa hana kipaji. Usimlinganishe Fally na Koffi olomide kwa sababu nyingi ikiwemo kwamba Koffi ndio amemtoa Fally hivo basi hawawezi kulingana japo Fally kipaji anacho
Wakati mwingine tujifunze kuheshimu Hustle za watu, unadhani wewe ungeweza kufika hata robo ya alipofikia Fally ? Jamaa ana kipaji sana embu muache
Umenilazimu nitafakari mashairi ya wimbo mmoja wa Franco na Tabu ley walioimba kuomboleza kifo cha grand kalle, mule ndani magwiji hawa wa muziki wa rhumba wanakubali wazi kwamba Grand kalle ndiye baba wa muziki. Hivyo basi hata Fally licha ya kipaji chake naye huwa anakubali kwamba Koffi ni kama baba kwake na anamuheshimu sana
 
Sikatai wadada na wamamama wote mtampenda sana huyo jamaa kwa vitu vingine vinavyowavutia.

Ila huyo ni kiki tu kama za Diamond.
Hata kama akipata tuzo zote ni sawa tu maana hizo tuzo zinachangiwa na kura wanazompigia wadada.Lile uno,na u handsome wake hata akiimba hovyo atapendwa tu.

Ila binafsi muziki wake unani boa sana.
Bora Ferre Gola ana Rhumba nyingi nzuri.

Nyimbo za Fally Ipupa ni kama pishi la nyanya chungu lililotiwa sukari.Hazieleweki
Nnavompenda Fally Ipupa, hata sikuelewi unachomaanisha, mi nadhani show imeahirishwa sababu ya Covid mfano Mwanza kumekatazwa mikusanyiko na alipanga show huko pia, you see

Associe, french kiss, hustler is back, sweet life ,Nidja aisee jamaa anajua mixer miuno ya paka chongo dah ni hatari.

Nyoshi jana clouds alikua anazungumzia ujio wa fally Ipupa kwenye shows dah alinichekesha anavomsifia eti "Jamaa anapiga mbunooo balaa[emoji23][emoji23] viuno hivo[emoji23]
 
Back
Top Bottom