Kuahirishwa kwa show za Ipupa: Muziki wake hauvutii japo ana kipaji

Kuahirishwa kwa show za Ipupa: Muziki wake hauvutii japo ana kipaji

Tafuta album Yake ya Tookos 2 ameitoa mwaka huu Kuna vibao hatari Sana ...


Sijui mleta mada anamleta Fally Ipupa yupi.


Sasa hivi naisikiliza ngoma iliyopo kwenye hiyo hiyo album inaitwa

Juste une fois amemshirikisha Mkali kutoka ufaransa M. Pokora ... Bonge moja la ngoma.


Huyu mleta mada ni shabiki wa visingeli.
Musamehe batoto ba juzi hawa...
 
Wewe mleta mada hujui muziki

Unasema Fally anabahatisha, una akili kweli wewe
Koffi Papa Mopao, Papa Fololo hajui mziki!???

Ukapimwe mkojo wewe
 
So jb anaimba kwaya?koffi kazidiwa kipaji na sauti na jb ila koffi ni enterpreneur anajua kugeuza music kuwa business
Haelewi huyo, JB akiwa anakamua na ile vocal yake utajua this is the real musician.....
 
Wewe mleta mada hujui muziki

Unasema Fally anabahatisha, una akili kweli wewe
Koffi Papa Mopao, Papa Fololo hajui mziki!???

Ukapimwe mkojo wewe
Hajui muziki huyo...


Basi akasikilize hata


Diamond Ft Fally Ipupa
 
Mjitahidi pia kuzifahamu na nyimbo za Gospel

Kama :

As the Deer panteth for the waters
 
Mm na mamizik ya bolingo mbali mbal maana sionagi wanachofanya zaid ya kunengua tu mauno na kuvaa minguo kama mitubali
 
Sio imeahirishwa kwa sababu ya kovidi kuepuka misongamano ? [emoji1787]
Mambo yaliyotokea Jana na Leo yameharibu kila kitu wameamua wale hasara kidogo kuliko kula hasara kubwa
 
Nimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.

Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.

Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.

Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.

Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
Hilo kundi la koffi umeliandika vipi?
 
mtoa mada hajui wanamuziki na mziki fally ipupa ndio best hata huko france na ubalgiji america wana mjua ni best kofii anamkubali fally na nyimbo zake zote nzuri wewe nenda kasikilize kwaya
 
Bibi moya ya Darisalamu ikuye hapa, wuuuuh wuuuuh!

Pedeshee ndama mutoto ya ng'ombe alimtupia misimbazi kibao fally jukwaani.

Fally Ipupa Live Concert in Dar es Salaam.
 
Fally,amepata kila kitu kwenye muziki wa Congo,kinacho msumbua ni kitu kimoja tu hakupitia zile group zinazohesabika kuwa ndio group mama wa muziki wa Congo,Tp ok jazz,Zaiko langa langa,Viva la muzica,Wenge muzica bc bg,baba yake mwenyewe Mopao kapitia huko ndio maana anaheshimika mpaka leo,jina la (Olomide) kapewa na mzee Fulla ngenge (Papa Wemba ) akimaanisha kijana mwenye kipaji
 
Nimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.

Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.

Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.

Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.

Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
Hiii yote nikuzima sekeseke la kongamano la katiba ,fatlia
 
Nimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.

Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.

Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.

Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.

Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
Kumfananisha JB Mpiana na Fally Ipupa Kiumaarufu ni Upumbavu mkubwa na usiovumilika.

Ni vyema Watu kabla hamjakurupuka kuja kutuonyesha Upumbavu wenu hapa muwe mnajiridhisha hasa Kitaarifa.

JB Mpiana kaanza kuwa maarufu tokea mwaka 1993 tena akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Bendi ( Mareshale Mukulu ) wakati Fally Ipupa kaanza kujulikana mwaka 2004 tena akiwa ni Dansa na Muimbaji wa Kawaida mno ndani ya Bendi ya Quarter Latin yake Koffi Olomide.

Ingia YoiTube uone jinsi Wanamuziki wa Kizazi cha sasa akina Fally Ipupa na Mwenzake Ferre Gola wanavyomsifia sana JB Mpiana na kwamba amewafunza Mziki na kila mara Wenge BCBG yake JB Mpiana ikifanya Tamasha Congo DR ( hasa Kinshasa ) Wanamuziki hawa Fally na Ferre huomba kwenda Kuimba nae kama afanyavyo pia aliyekuwa mpiga Gitaa la Bass Didier Masela.

Katika interviews zote azifanyazo Hasimu mkubwa wa JB Mpiana Mkongwe Koffi Olomide amekuwa akisema kuwa Mtu ambaye anamuogopa na kasababisha awe Mbunifu zaidi Kimuziki ni JB Mpiana ambaye kwa msiojua Nyumba zao za Kifahari zipo Jirani kabisa tu.

La mwisho kaa ukijua kuwa Wanamuziki wote wa iliyokuwa Bendi ya Wenge Musica 4 X 4 iliyowajumuisha Wanamuziki wote akina JB Mpiana, Werrason, Blaise Bula ( ambaye Kitaaluma ni Injinia wa Ndege ), Adolphe Dominguez, Alain Makaba 'Prense', Didier Masela, Alain Mpela 'Afande', Ficarre Mwamba 'Mitre' na Rapa ( Atalaku ) Mwanzilishi Roberto Wunda Enkokota wametoka katika Familia za Kitajiri tupu ambapo wengi wao Baba zao walikuwa ni Mabalozi na wengine ni Wakuu wa Vikosi vya Jeshi katika Utawala wa Hayati Rais wao Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga huku Mfadhili wao mkuu Kiserikali akiwa ni aliyekuwa Mtoto Kipenzi wa Rais Mobutu aitwae Jose Kongolo Mibeko Lalwaa ambaye alijiua kwa Kujipiga Risasi baada ya Kujigundua alikuwa ameathirika na VVU.

Dada yake huyu Jose Kongolo aitwae Ngawali ndiyo Yule wakati Baba yao Mobutu akiwa Rais ndiyo alikuwa akisafiri na Ndege aina ya Concorde kutoka Kinshasa hadi Brussels kwenda Kusoma na Kumrudisha ila hivi sasa huyu ( huyo ) Ngawali ni 'Baamedi' katika moja ya Hotel Kubwa Jijini Paris nchini Ufaransa baada ya Kufilisika kutokana na Mali zote za Marehemu Baba yao Kutaifishwa na aliyekuwa Rais wa Congo DR Mzee Laurent Desire Kabila ( ambaye alipokuwa Ukimbizini ) hapa Tanzania alikuwa akijiita ( akiitwa ) Mzee Simwale.

Jikite sana katika kutafuta kujua mengi.
 
Huwezi kusema JB mpiana anabebwa na kundi, JB mpiana ana kipaji kikubwa sana cha kuimba na kutunga mashairi.....achana na hao wauza sura akina Fally Ipupa na Koffi Olomide..
Unaumwa wewe
 
Back
Top Bottom