Kiparuanda
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,587
- 2,389
Acha kudanganya ummaFally,amepata kila kitu kwenye muziki wa Congo,kinacho msumbua ni kitu kimoja tu hakupitia zile group zinazohesabika kuwa ndio group mama wa muziki wa Congo,Tp ok jazz,Zaiko langa langa,Viva la muzica,Wenge muzica bc bg,baba yake mwenyewe Mopao kapitia huko ndio maana anaheshimika mpaka leo,jina la (Olomide) kapewa na mzee Fulla ngenge (Papa Wemba ) akimaanisha kijana mwenye kipaji
Mzee una miaka mingapi?..itoshe kusema tu hujui muziki wa Congo Drc na tena ukae kimya kabisa..hivi unamjua Jb Mpiana kweli wewe hata mashabiki wa koffi na Fally ipupa pale Kinshasa wanampigia salute huyu mwamba,nakup assignment kasikilize ngoma hizi tamu kabisa ambazo ingekuwa Marekani zingekuwa hadhi sawa na Soul za George Benson au hata Lionel Richie nenda kasikilize Omba,48 Heures Gecoco,Feux de l amour,Jeannette malizia na Masuwa anza na hizo tu kwanza halafu rudi hapa tukuongezee magoma ya JB ambayo sisi tuliruka nayo enzi hizoNimeona tangazo la kuahirishwa kwa show za Fally Ipupa Dar na Mwanza.Sikusitushwa hasa kwa sababu ana miziki mingi ya kubahatisha isiyo vutia kama ambavyo ukilinganisha na mkongwe Koffi Olomide.
Fally Ipupa zaidi ya urembo na kukata mauno,ana kipaji cha sauti nzuri.
Hata hivyo sauti nzuri,urembo,na kukata mauno vinaweza tu kuwa vivutio kwa wadada na sio wanaume wapenda muziki.
Huyu jamaa niliona kama vile alipata kiki sana kwenye media za nje kama anavyopata kiki Diamond ingawa hana muziki unaovutia.
Kama mtu angetoa laki moja kwenda kwenye show,ni kwa vile tabia ya matajiri kupenda kutafuta sababu ya kukutana na hasa wakisukumwa na ushawishi wa warembo wanaoweza kuhudhuria show.
Wakati huyo Fally Ipupa akifanya show stejini,wengine waliohudhuria wako kwa ajili ya show off tu.
Huyo jamaa angeweza kuwa bora kama angekuwa kwenye kundi la Quarter Latin la Koffi Olomide.Ni sawa tu na ambavyo JB Mpiana hawezi kuwa bora bila wakali wenzie waliokuwa nao Wenge BCBG.
Unasemaje? Koffi Olomide?
Umezaliwa jana wewe....
Kwa sasa Congo hakuna kama Koffi...Le mopao.
Koffi huwezi kumlinganisha na JB ama mwanamuziki yeyote kwa sasa Congo
Watoto wanaonyoa viduku na surual za kubana hawawez kuelewaNimeanza kumsikiliza Mopao 1994 natoka msingi, picha mjongeo ya kwanza kuiona kwenye fideo na video yenyewe nilimuona Mopao. Japo sasa simkubali ki mavazi yake na Umri wetu mie na yeye ila anayesema Mopao si mwanamziki atakuwa kaanza kufuatilia muziki kipindi cha Innos B!.
Kuongozi nilikuwa nasubiri Comment akoo tuu kiongoziiiKumfananisha JB Mpiana na Fally Ipupa Kiumaarufu ni Upumbavu mkubwa na usiovumilika.
Ni vyema Watu kabla hamjakurupuka kuja kutuonyesha Upumbavu wenu hapa muwe mnajiridhisha hasa Kitaarifa.
JB Mpiana kaanza kuwa maarufu tokea mwaka 1993 tena akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Bendi ( Mareshale Mukulu ) wakati Fally Ipupa kaanza kujulikana mwaka 2004 tena akiwa ni Dansa na Muimbaji wa Kawaida mno ndani ya Bendi ya Quarter Latin yake Koffi Olomide.
Ingia YoiTube uone jinsi Wanamuziki wa Kizazi cha sasa akina Fally Ipupa na Mwenzake Ferre Gola wanavyomsifia sana JB Mpiana na kwamba amewafunza Mziki na kila mara Wenge BCBG yake JB Mpiana ikifanya Tamasha Congo DR ( hasa Kinshasa ) Wanamuziki hawa Fally na Ferre huomba kwenda Kuimba nae kama afanyavyo pia aliyekuwa mpiga Gitaa la Bass Didier Masela.
Katika interviews zote azifanyazo Hasimu mkubwa wa JB Mpiana Mkongwe Koffi Olomide amekuwa akisema kuwa Mtu ambaye anamuogopa na kasababisha awe Mbunifu zaidi Kimuziki ni JB Mpiana ambaye kwa msiojua Nyumba zao za Kifahari zipo Jirani kabisa tu.
La mwisho kaa ukijua kuwa Wanamuziki wote wa iliyokuwa Bendi ya Wenge Musica 4 X 4 iliyowajumuisha Wanamuziki wote akina JB Mpiana, Werrason, Blaise Bula ( ambaye Kitaaluma ni Injinia wa Ndege ), Adolphe Dominguez, Alain Makaba 'Prense', Didier Masela, Alain Mpela 'Afande', Ficarre Mwamba 'Mitre' na Rapa ( Atalaku ) Mwanzilishi Roberto Wunda Enkokota wametoka katika Familia za Kitajiri tupu ambapo wengi wao Baba zao walikuwa ni Mabalozi na wengine ni Wakuu wa Vikosi vya Jeshi katika Utawala wa Hayati Rais wao Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga huku Mfadhili wao mkuu Kiserikali akiwa ni aliyekuwa Mtoto Kipenzi wa Rais Mobutu aitwae Jose Kongolo Mibeko Lalwaa ambaye alijiua kwa Kujipiga Risasi baada ya Kujigundua alikuwa ameathirika na VVU.
Dada yake huyu Jose Kongolo aitwae Ngawali ndiyo Yule wakati Baba yao Mobutu akiwa Rais ndiyo alikuwa akisafiri na Ndege aina ya Concorde kutoka Kinshasa hadi Brussels kwenda Kusoma na Kumrudisha ila hivi sasa huyu ( huyo ) Ngawali ni 'Baamedi' katika moja ya Hotel Kubwa Jijini Paris nchini Ufaransa baada ya Kufilisika kutokana na Mali zote za Marehemu Baba yao Kutaifishwa na aliyekuwa Rais wa Congo DR Mzee Laurent Desire Kabila ( ambaye alipokuwa Ukimbizini ) hapa Tanzania alikuwa akijiita ( akiitwa ) Mzee Simwale.
Jikite sana katika kutafuta kujua mengi.
Ambayo ninadhani umeipata Kikamilifu.Kuongozi nilikuwa nasubiri Comment akoo tuu kiongoziii
GENTAMYCINEKofi olomide hajui kuimba tukubali ni ujanja ujanja,wimbo mzima ataongea maneno mawili matatu jb mupiana super vocalist,vocal yake hatar
Hamnaa lolote,wala sioni ladha ya bolingo zaid ya kuruka ruka tu!bora hata R&B atleast zilinibambaWewe umezaliwa majuzi kipindi cha mziki wa bongo fleva, ladha ya bolingo huwezi kuijua....tuachie wakongwe ambao mziki wa kikongo umetukuza....
Fally Ipupa hana ubora huo mnaomsifia Kutwa isipokuwa anabebwa zaidi na kuwa Kwake 'very handsome' na kujua Kukata Viuno ambapo huwavutia Mashabiki zake wengi ambao 85% ni Wanawake.Fally Ipupa ni level nyingine kwenye muziki/
Naam.....!!!
Naona tayari ushashusha mkuu, nilikua nakuita kwenye mada ya Magwiji wa Rhumba.Naam.....!!!
Kuna Watu wengine nawashauri ni bora tu mfiche Upumbavu wenu mliorithishwa kuliko kutuboa tu hapa.Hamnaa lolote,wala sioni ladha ya bolingo zaid ya kuruka ruka tu!bora hata R&B atleast zilinibamba
Umemaliza kila Kitu kuhusu Kipenzi changu 'tukuka' JB Mpiana a.k.a Mareshale Mukulu a.k.a Mukulu ya Bamukulu a.k.a Bin Adam a.k.a Souverain Premiere a.k.a Moto Pamba a.k.a De la Patria a.k.a Papa Cherie a.k.a Le Grand Leadere na a.k.a Lonkia Milo Dankokoo.Mzee una miaka mingapi?..itoshe kusema tu hujui muziki wa Congo Drc na tena ukae kimya kabisa..hivi unamjua Jb Mpiana kweli wewe hata mashabiki wa koffi na Fally ipupa pale Kinshasa wanampigia salute huyu mwamba,nakup assignment kasikilize ngoma hizi tamu kabisa ambazo ingekuwa Marekani zingekuwa hadhi sawa na Soul za George Benson au hata Lionel Richie nenda kasikilize Omba,48 Heures Gecoco,Feux de l amour,Jeannette malizia na Masuwa anza na hizo tu kwanza halafu rudi hapa tukuongezee magoma ya JB ambayo sisi tuliruka nayo enzi hizo
Naona Bia bado ziko 'Mbichwani' Kwako au?Ongeeni yote lakin mimi nikiwa nakunywa bia zangu fere golaa ni nyokoooo...
Fala yule anabembeleza bia inashukaa kama maji..fundi sana mbwa yulle
Sasa kama you're this Foolish utaonaje mazuri ya Muziki wa Bolingo wa Congo DR? Hebu kampikie Chai Mumeo awahi Kazini urejee Kitandani kulala na hilo Dela lako kama Puto.Mm na mamizik ya bolingo mbali mbal maana sionagi wanachofanya zaid ya kunengua tu mauno na kuvaa minguo kama mitubali
Nikiri wazi na najua wengi hapa wananijua kuwa GENTAMYCINE ni Team JB Mpiana na Bendi yangu pendwa ya Wenge BCBG.Duuuh! Koffie Olomide hajui muziki?? Ngoja nisikilize vibao vya Papa Plus, Julia na Petit na London kwanza.