Kuahirishwa kwa show za Ipupa: Muziki wake hauvutii japo ana kipaji

Uwiiiij....vocalist bora Congo nzima..fere gola lechante,,,le padre...hatari sana huyu MTU...huyu akianza kuimba hata fally anajificha chini ya kitanda.....fally nae akianza kucheza...wote tunamtazama
 
3eme de toit,,100 kilos,,vita imana,,poison de avril,,,paka djuma..vita imana remix..hatari sana free gola
 
Ongeeni yote lakin mimi nikiwa nakunywa bia zangu fere golaa ni nyokoooo...

Fala yule anabembeleza bia inashukaa kama maji..fundi sana mbwa yulle
Asantee...nafrahi kuona kuna watu wanajua mabalaa ya le padre
 
Unamjua ipupa au unamsikia? Hicho chombo kingine mkuuu achana nacho, nenda kaisilikilize original na ngoma zake kibaaaaa, we sikia audio tu.
 
Sasa kama you're this Foolish utaonaje mazuri ya Muziki wa Bolingo wa Congo DR? Hebu kampikie Chai Mumeo awahi Kazini urejee Kitandani kulala na hilo Dela lako kama Puto.
Pole mkuu kwa kukukera ila usilazimishe nipende unachokipenda ww!!naona umeandika kwq mihemuko na mipasho kama bwabwa flan iv linalopakuliwa!ila pole sanaa kila mtu ana hobbies zake
 
Wewe mleta mada hujui muziki

Unasema Fally anabahatisha, una akili kweli wewe
Koffi Papa Mopao, Papa Fololo hajui mziki!???

Ukapimwe mkojo wewe
Sio rinda[emoji23]
 
Kuna kipindi bendi zilikuwa zinamtaja sana Kongolu Mobutu mtoto wa Hayati Mobutu..jamaa alikuwa anapenda sifa kama Sabaya vile..sijajua kwa sasa hawa matajiri wanaotajwa ndio wamefulia au vipi maana kina Tchatcho Ombala,Mkubwa shabani,Bebe Ramadhani,Anna Bombole,Monsieur De Congolaise Mabamba pamba pamba,Mustafa Athumani na wengineo hawatajwi kabisa ni kama wamesahaulika hivi
 
Mtusi tangu lini ukamkubali Fally Ipupa au mkongo.


PUMBAAAAAAAAVU
 
Duuuh! Koffie Olomide hajui muziki?? Ngoja nisikilize vibao vya Papa Plus, Julia na Petit na London kwanza.
Koffie Olomide Hana kipaji asili Cha kuimba lakin ni mtunzi Kwa lugha ingine ni mwandishi mzuri ukaribu alikuwa nao na papaa Wemba ulimfanya aanze kuimba
 
Pole mkuu kwa kukukera ila usilazimishe nipende unachokipenda ww!!naona umeandika kwq mihemuko na mipasho kama bwabwa flan iv linalopakuliwa!ila pole sanaa kila mtu ana hobbies zake
Bwabwa atakuwa ni 'Babaako' tu sawa?
 
Kaa huko unywe zako kitoko mziki hujui wewe 😂😂
 
Unajua watanzania na ulimwengu wa sasa tunatabia ya kushabikia mwanamuziki kwasababu ya followers wake mitandaoni na sio uwezo wake wa kushawishi kupitia kazi zake.

Na ndio maana wasanii wengi wa sasa huwa hawana maisha marefu sababu umaarufu wao ni kutokana na kishabikiwa mitandaoni na makundi ya fans wanafiki.

Nikiwa my nephew, niece na other young blood, huwa wanasikia ngoma ambazo hawazisikii redioni. Na hii huwa inawapa shauku ya kutaka kujua hawa wanaoimba ni akina nani.

Madogo nimewaonyesha video za Michael Jackson, aisee wanavyomuelewa utadhani walizaliwa miaka yake.

Kimsingi wasanii wa sasa wanatumia unafiki wa hawa mashabiki feki kujinufaisha na kuua mziki mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…