Kuahirishwa kwa Simba na Yanga ni failure ya

Simba au yanga

  • Simba

    Votes: 6 31.6%
  • Yanga

    Votes: 9 47.4%
  • Simba na yanga

    Votes: 4 21.1%

  • Total voters
    19
Na

Mama kahusika wapi na lini ,acheeni kumdhihaki mama ,taka msitake mama ndio rais na kwa taarifa yako huenda akawa ndio Rais anaekubalika zaidi na watanzania wote hata JK wa 2005 bado hajamfikia
Anakubalika kwa watu wasio na akili kama wewe,wenye akili tegemezi
 
Angekuwepo Magufuli nadhani kuna viongozi wangeshawajibishwa.Kweli tutakukumbuka sana jemedari wetu.
Hadi muda huu tayari kungekuwa na barua za utengezu viongozi wote walio husika na huu uharibifu, mama nyoronyoro, anachekea uzembe na uharibifu.
 
Tff mnawaonea, usimamizi upo wizara ya michezo ambao ndio umetoa maamuzi.
Tff kama chombo kilichopewa dhamana ya kusimamia soka walitakiwa waishauri wizara juu ya risk ambazo zingetokea baada ya mechi kubadilishwa mda. Hata kama wizara walikuja na hayo mapendekezo
 
Tff kama chombo kilichopewa dhamana ya kusimamia soka walitakiwa waishauri wizara juu ya risk ambazo zingetokea baada ya mechi kubadilishwa mda. Hata kama wizara walikuja na hayo mapendekezo
Na kama wizara ingengataa huo ushauri na kusisitiza game isogezwe saa moja Tff walipaswa kufanyaje mkuu?
 
Ni kweli kabisa upo sawa, ila kwa mpira wetu huu usikute hata sio kanuni labda tu wanaona Karia hayupo upande wao kwahyo wanamkomoa, na inaonekana Rais wa TFF ni Simba ndomana Yanga haijakubali, na ingekuwa Rais ni Yanga Simba ndo wangelianzisha.
 
Magufuli ndo wa kulaumiwa, maana yeye ndo alimchagua Bashungwa kuwa waziri. Hovyo sana yule mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…