Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule mkoa wa Kaskazini mkuu.Mkoa gani wanauza karanga ghali ivyoo mkuu??
Sawa mkuu.Binafsi uamuzi sahihi ni kuweka mfumo wa udhibiti ambao bila kujali uhusiano wako na mwajiriwa,
Una roho mbaya na wanaanza kukutenga kabisa. Undugu una changamoto nyingi sana mkuu.Ni changamoto Kama Ndugu ukimkopesha tu akishindwa kulipa anaenda kuomba msaada kwenye ukoo mzima alaf unalazmishwa umsamehe, ukikomaa nae bila kuwasikiliza wanaanza kukutangaz unaroho mbaya
Sawa kaka mkubwa...Binafsi uamuzi sahihi ni kuweka mfumo wa udhibiti ambao bila kujali uhusiano wako na mwajiriwa
Good...utatoa mwongozo mzuri wa vigezo vya kuzingatia wakati wa kuajiri
Hakika.madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October tunampigia kura Magufuli kwa 98% Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania.
Kwani, huyo Sulphur Hexafluoride na wewe ni ndugu?
Tuko wote kwenye payroll ya Lumumba boss.Kwani, huyo Sulphur Hexafluoride na wewe ni ndugu?
SawaTuko wote kwny payroll ya Lumumba boss.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani, huyo Sulphur Hexafluoride na wewe ni ndugu?
7×3=21 sio mbayaTuko wote kwny payroll ya Lumumba boss.
Mhhh, hii ndio ina maana gani ndugu yangu?7×3=21 sio mbaya
7000 wanazolipwa per day × siku 30 za mwezi=210000Mhhh, hii ndio ina maana gani ndugu yangu?
Okay...Mm nitoe ushuhuda kidogo kwa upande wangu
Mm nimefungua kibiashara kidogo tu cha huduma za sim kwa maana ya uwakala huu ni mwezi wa tatu sasa faida naiyona na inaongezeka kila mwezi kutokana na kuzoeleka kila siku zinavyokwenda.