Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Sawa mkuu1. Kabla ya kufungua biashara nilimuita mzee (baba) nikaweka wazi kuwa dogo akizingua namtimua.
2. Dogo nilimchimba mkwala kuwa lengo tunufaike sote hvy akizingua mm kwangu ni kuchukua mtaji wangu tu.
3. Nafuatilia mm mwenyewe kwa ukaribu wala simuonei muhali